Kilichotokea Uwanja wa Taifa, Ndicho kimemuokoa Ney wa Mitego.

Kilichotokea Uwanja wa Taifa, Ndicho kimemuokoa Ney wa Mitego.

Nasikia sio kuachiwa tu.......Nay ameitwa Ikulu na mheshimiwa, sijui anaenda kuambiwa nini?
ms nsingeeenda. majaribu hayo. mtu nshamtukana ananiita nikamwone heeeee
 
Times are a changing, wakati mwengine bana, wasaanii wanawaimbisha mawaziri wa Magu Bashite .....wapo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nasikia sio kuachiwa tu.......Nay ameitwa Ikulu na mheshimiwa, sijui anaenda kuambiwa nini?
Keshatangaza kwamba Bashite ameonesha vyeti vyake na kwamba hilo ni pigo kwa Mange et al na yakwamba bwana mkubwa katamba kwamba yeye hateuagi vilaza! Ni eti lakini eti.
 
Keshatangaza kwamba Bashite ameonesha vyeti vyake na kwamba hilo ni pigo kwa Mange et al na yakwamba bwana mkubwa katamba kwamba yeye hateuagi vilaza! Ni eti lakini eti.
Nani ktangaza wewe acha kuota vitu vya kijinga
 
7331b388f86d3bf05d0a6aa467e92a1b.jpg
 
Kaitwa mjengoni akaulizwe kale kamstali ulikosema wapo walipoteza malinda WAPOOOO.. ndio nn hayo malinda na ninani aliyepoteza malinda .?
 
Aaaaa kwani hua anasikiliza wananchi wanataka nini???
Eti ameipenda nyimbo hivi ameisikiliza mpaka mwisho kweli?
 
Kitendo cha Mh Mwakyembe kuzomewa huku Nape kushangiliwa siku ya jumamosi uwanja wa Taifa halikuwa jambo la kawaida.

Lazima lilimpa Rais wetu msukumo wa kujitathmini juu ya maamuzi ayafanyayo.

Watanzania wengi wanajiuliza hivi leo Rais wao kaota nini mpaka kafanya maamuzi adimu kama ya leo. ( naamini ni mara ya kwanza kufanya maamuzi ya namna hii).

Zipo sababu kuu tatu zilizomsukuma Rais kufanya haya maamuzi kutokana na tukio la Jumamosi.

1. Kama Ney angepata dhamana hivi leo, basi angetoka kwa kupokelewa kwa mbebwe na mashabiki wake huku akionekana kuwa shujaaa (hero). Mpaka sasa Rais kaishatengeneza mashujaa wakubwa wawili. NAPE na Mange K. Sasa leo anngechelewa kidogo tu, Angeongeza shujaa mwingine wa tatu.

2. Kumsafisha Mwakyembe.
Kuzomewa kwa mwakiyembe kumempa picha kuwa yeye na chaguzi zake hazikubaliki. Ili kumsafisha na kumtaftia kiki Mwakiyembe, imemsukuma kumwachia huru Ney ndyo maana baada ya Rais kutoa Ruhusa na mwakyembe katokelezea kwenye press. Nikimaanisha, ilikuwa scriptes.

Kama Ney angeendelea kuwekwa ndani nakupigwa burn, Mwakiyembe naye angezidi kuchukiwa na Raia maana Tabia yake ya ndyo mzee hta mtu aliyepo kolomije anaijua.

3. Tukio la Jumamosi limeonesha kuwa watu wanachukia sasa serkali ya Magufuli sababu ya ubabe. Ndyo maana kashangiliwa Nape ingawa ni CCM. Ninauhakiki hili tukio lilimfanya Rais apate sleepless night. Ili kupunguza chuki. Kaanza kupunguza makali kuanzia kwa Ney.

Mimi nampongeza Rais kuanza kutambua kuwa ananguvu kubwa ila anabidi ajue kujiwekea mipaka ya nguvu aliyonayo.

Hongera Rais kwa kutambua kuwa serikal yako inahitaji kukosolewa.
Heee eti ' Kashangiliwa nape Ingawa ni CCM' hivi unadhani Watu wanaoenda kwenye michezo ni Upinzani tu?' Hivi mtarudishiwa lini akili zenu jamani mbona mnatuchosha?!?!?
 
Ameitwa akamshirikishe kwenye remix si wajua mkulu now hajui aifanyie nn nchi so anaenda na yeye kwa matukio. Hapa ndio namuheshimu Mkapa. He was busy na nchi na sio haya ya muziki sijui mange sijui movie yeye alikuwa busy nanserious issue sio kutafuta front page coverage.....Ingawa alijiuzia mgodi[emoji91]

Ingawa alijiuzia mgodi...hakuna Rais bora kama Mkapa.
 
Mi bado sinaimani na magufuli. Nimepiga kura Mara tatu nikiipitisha ccm japo sina kadi ya chama chochote lkn awamuhii nahisi raisi anaona hata mimi sifai sistahili. maana nguvu inayotumika imeumiza familia nyingi. ila mungu atatulinda mungu ni mlezi
 
Heee eti ' Kashangiliwa nape Ingawa ni CCM' hivi unadhani Watu wanaoenda kwenye michezo ni Upinzani tu?' Hivi mtarudishiwa lini akili zenu jamani mbona mnatuchosha?!?!?
Vyama vyote nimali yetu achana nae hajuikitu.
 
Ingawa alijiuzia mgodi...hakuna Rais bora kama Mkapa.
Hakupata changamoto Kama wenzake hizi ni zama nyingine mkuu) Kikwete anahutubu wabunge wanazomea) alikua baba wa wa Tanzanian wote sio baba bashite
 
na bado watazomewa sana maana wanajifanya miungu watu, kuna mmoja ati mungu wa DSM
 
Back
Top Bottom