Kilichotukera Orlando Pirates sio Penati ya kubebwa au maamuzi ya V.A.R kilichotukwaza ni vile vitochi vya kishamba

Kilichotukera Orlando Pirates sio Penati ya kubebwa au maamuzi ya V.A.R kilichotukwaza ni vile vitochi vya kishamba

Inakereka wakati mechi haihusu timu yako. Acha kimbelembele cha kujipendekeza. Subirini kitimu chenu nacho kishiriki. Wadangaji nyinyi.
 
Mwenye tatizo ni yule wa camera aliamua kufuatilia vitochi utadhani katumwa na Yanga!
 
Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote.

Karibuni South Africa.
Unateseka ukiwa wapi we msukule?
 
Hiki kikao chenu kijadili mambo ya usukuleni. Mambo ya simba hayawahusu
JamiiForums1951557054.jpg
 
Hatuna shida sana matokeo tuliyopata maana yote aliyoyasema Abdi banda yametimia. ila kilichotukera sana sisi ni vile vitochi vyenu vya kitoto mlivyokuwa mkivielekeza kwa golikipa wetu muda wote.

Karibuni South Africa.
Mnakera Sana nyie misukule.
Luc Eymael hakukosea kuwaita Manyani na mnabwekabweka tu kama mbwa.
 
Back
Top Bottom