Kilichotutokea jana Bambalaga - Dodoma

Huyo jamaa mimi nimemshauri aning'inize hata ufunguo wa chumba chake au fekoni aache wivu
Kigari chenyewe mkopo toyota kina miaka zaidi 25 dah wabongo bado unaona una gari au garbage???shit kuwa mzima kushika kijifunguo choka na kujivimbisha ulimbukeni na ushamba
 
aaache ushamba tangu lini changudoa anapigwa denda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wafanyakazi wao wache ujinga kwanza
 
Shida ni hela au chuo? Kwani elimu ina mwisho?
 
Pale miyeyusho sana......pia mnaolipa bill kwa card za bank kuweni makini ukilewa wanakuongezea bill. Sisi tulipewa bill ya 198,000 lakini kwenda kulipa alienda mshikaji kulipa kwa card wakakata 1,980,000......mabaunsa wanashirikiana na madada poa kufanyia uharifu wateja pale
 
Kigari chenyewe mkopo toyota kina miaka zaidi 25 dah wabongo bado unaona una gari au garbage???shit kuwa mzima kushika kijifunguo choka na kujivimbisha ulimbukeni na ushamba
Hata liwe la mwaka 79 ni langu na mkopo nalipa mwenyewe. Nina AC, mziki mzuri, suspension safi sichafuki na vumbi wala siteseki na jua. Hayo ya kuniona mshamba na limbukeni yapo kichwani kwako. Mtu ahukumiwe kama kuna sheria amevunja sio hisia za ushamba sijui ulimbukeni
 
Mikweche umasikini usivimbe basi na mkokoten usiyo hadhi ya kuitwa gari mkuu pole icho chenyewe mafuta shida
 
Mikweche umasikini usivimbe basi na mkokoten usiyo hadhi ya kuitwa gari mkuu pole icho chenyewe mafuta shida
Mambo ya shida ya mafuta na kuvimba yanatoka wapi tena? Wewe nunua lako kali enjoy hakuna atakayekusumbua.
 
Malaya hanyonywi nyonyo au sehemu za Siri, ukiwa malaya inabidi uwe smart mtajageuzwa na madildo yakiume ooh. Malaya wengi hujipaka madawa kwenye nyonyo zao shtukeni
Lol
 
Inaonekana wazi kabisa uliofanyiwa hili tukio ni wew unaogopa tu kuweka wazi na jinsi ulivyo kiazi unamla malaya Denda ..... What a shame[emoji34]
 
Wewe ni aina ya mshikaji asiye na maana kabisa. Yaani umefuatilia mshikaji na demu kupata umbea na haukuwa na msaada wowote?
Ungekausha tu bro. Wewe ni mtu wa ovyo sana.
 
Wewe ni aina ya mshikaji asiye na maana kabisa. Yaani umefuatilia mshikaji na demu kupata umbea na haukuwa na msaada wowote?
Ungekausha tu bro. Wewe ni mtu wa ovyo sana.
Poa mkuu maisha yanaendelea karibu supu hapa Waswanu na semina ya wiki 2
 
Poa mkuu maisha yanaendelea karibu supu hapa Waswanu na semina ya wiki 2
Pombe ulinunuliwa na bado ukaacha mshikaji akalipia mara ya pili. Huwezi kuwa nauwezo wa kununua supu. I bet!
 
kweli tunatofautiana unaenda bar unalewa unataka Malaya ofisini kwako hawapo !
 
Crown, Fuga na Brevis zinaanzaje kuwa baby walker ma v6 yalee😟😟 yanataka chakula heavy😂😂
 
Ukilipa bill omba lisiti ya EFD ndo komesha yao wahudumu na wamiliki wa Bar
 
Hongera rafiki kwa kumnusuru nduguyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…