Kilichovunja ndoa ya Diamond na Tanasha ni hiki

Kilichovunja ndoa ya Diamond na Tanasha ni hiki

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Ni malaika slt, binti kutoka Australia, Mond alipagawa akafa video vixen wa jeje
 
Hizi mauno za kumtoa nyoka kwa suruali.
 
Mwanaume ukiwa na Pesa na umaarufu + mvuto ni ngumu kubaki na mwanamke mmoja , Mfalme Daudi na maombi yote lakn bado mambo yalimwendea ovyo , unaweza ukawa na demu mkali kabisa ukaamin hapo ndo umefika Ila akipita demu mwingine anatikisa wezere unastukia kitu kimesimama kinamtaka daaah.....
 
Back
Top Bottom