Kilichowapata wanamziki wa kike waliotoka kimapenzi na maboss zao.

Kilichowapata wanamziki wa kike waliotoka kimapenzi na maboss zao.

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Mambo yanatishaa sanaa,

Yaani ukikaa ukafuatilia matokeo hasi waliyokumbana nayo wanadada utabaki mdomo wazi, kama malaya kaona dudu. Hapa nazungumzia mahusiano ya kimapenzi baina ya mabinti chipukizi katika fani na mabosi zao. Wanabodii mifanoo ni mingi.. kwa leo ntatoa miwili tuu.

Celine Dion
Huyu mwanamama akati ana miaka 12 akakutana na bosii/meneja wake miaka 38. Alipofikisha miaka 18 tuu akaweka wazi mahusiano yake na meneja. Sasa buana kilichomkutaa kina ogofyaa sana yaani kabakii shingoo tuu.
download (3) (2).jpeg


Aaliyah

Huyuu nayee alikuwa kwenye mahusiano na meneja wake, beberu RKelly. Asalaleeh binti wa watu akaishia kufa akiwa na miaka 22 tuu.
download (3) (3).jpeg


Nandi

Huyu naye akajiweka kwa Ruge sasa hata mwaka haujapita akawaa mjanee. Bahati yake hatupo india, maana ingebidi tumchome moto amsindikize mumewe

Naam nazani dada zetu mmejifunza jambo. We Zuchuu subirii kikukute kitu kizito ndo utashika adabu.
 
Mambo yanatishaa sanaa,

Yaani ukikaa ukafuatilia matokeo hasi waliyokumbana nayo wanadada utabaki mdomo wazi, kama malaya kaona dudu. Hapa nazungumzia mahusiano ya kimapenzi baina ya mabinti chipukizi katika fani na mabosi zao. Wanabodii mifanoo ni mingi.. kwa leo ntatoa miwili tuu.

Celine Dion
Huyu mwanamama akati ana miaka 12 akakutana na bosii/meneja wake miaka 38. Alipofikisha miaka 18 tuu akaweka wazi mahusiano yake na meneja. Sasa buana kilichomkutaa kina ogofyaa sana yaani kabakii shingoo tuu.
View attachment 3129727

Aaliyah

Huyuu nayee alikuwa kwenye mahusiano na meneja wake, beberu RKelly. Asalaleeh binti wa watu akaishia kufa akiwa na miaka 22 tuu.
View attachment 3129729

Nandi

Huyu naye akajiweka kwa Ruge sasa hata mwaka haujapita akawaa mjanee. Bahati yake hatupo india, maana ingebidi tumchome moto amsindikize mumewe

Naam nazani dada zetu mmejifunza jambo. We Zuchuu subirii kikukute kitu kizito ndo utashika adabu.
Sasa ndo umeandika nini jamani..

Pengine hata baba yako alikuwa boss wa mama yako ujue.
 
Mambo yanatishaa sanaa,

Yaani ukikaa ukafuatilia matokeo hasi waliyokumbana nayo wanadada utabaki mdomo wazi, kama malaya kaona dudu. Hapa nazungumzia mahusiano ya kimapenzi baina ya mabinti chipukizi katika fani na mabosi zao. Wanabodii mifanoo ni mingi.. kwa leo ntatoa miwili tuu.

Celine Dion
Huyu mwanamama akati ana miaka 12 akakutana na bosii/meneja wake miaka 38. Alipofikisha miaka 18 tuu akaweka wazi mahusiano yake na meneja. Sasa buana kilichomkutaa kina ogofyaa sana yaani kabakii shingoo tuu.
View attachment 3129727

Aaliyah

Huyuu nayee alikuwa kwenye mahusiano na meneja wake, beberu RKelly. Asalaleeh binti wa watu akaishia kufa akiwa na miaka 22 tuu.
View attachment 3129729

Nandi

Huyu naye akajiweka kwa Ruge sasa hata mwaka haujapita akawaa mjanee. Bahati yake hatupo india, maana ingebidi tumchome moto amsindikize mumewe

Naam nazani dada zetu mmejifunza jambo. We Zuchuu subirii kikukute kitu kizito ndo utashika adabu.
Bahati yake hatupo india, maana ingebidi tumchome moto amsindikize mumewe

Boss India hatuchome wajane Hai
 
Mambo yanatishaa sanaa,

Yaani ukikaa ukafuatilia matokeo hasi waliyokumbana nayo wanadada utabaki mdomo wazi, kama malaya kaona dudu. Hapa nazungumzia mahusiano ya kimapenzi baina ya mabinti chipukizi katika fani na mabosi zao. Wanabodii mifanoo ni mingi.. kwa leo ntatoa miwili tuu.

Celine Dion
Huyu mwanamama akati ana miaka 12 akakutana na bosii/meneja wake miaka 38. Alipofikisha miaka 18 tuu akaweka wazi mahusiano yake na meneja. Sasa buana kilichomkutaa kina ogofyaa sana yaani kabakii shingoo tuu.
View attachment 3129727

Aaliyah

Huyuu nayee alikuwa kwenye mahusiano na meneja wake, beberu RKelly. Asalaleeh binti wa watu akaishia kufa akiwa na miaka 22 tuu.
View attachment 3129729

Nandi

Huyu naye akajiweka kwa Ruge sasa hata mwaka haujapita akawaa mjanee. Bahati yake hatupo india, maana ingebidi tumchome moto amsindikize mumewe

Naam nazani dada zetu mmejifunza jambo. We Zuchuu subirii kikukute kitu kizito ndo utashika adabu.
Nazani x nadhani ✓
 
Ni kama ulilenga kumshambulia Zuchu au Nandi sijaona mantiki kwenye bandiko lako
Tafuta hela kijana watu mwachie Mungu yeye ndo anawajua watu wake
 
Back
Top Bottom