Kilimanjaro: Adaiwa kulawitiwa na binamu yake

Kilimanjaro: Adaiwa kulawitiwa na binamu yake

Mimi hizi habari huwa siziamini.

Kweli mtoto wa miaka mi3, anatundu kiasi gani?
Huyo miaka 19 wengine hadi huwa ni wababa huwa wana midenge size gani.

Habari zingine huwa ni kusakizia watu tu waende jela.

Hasa ukikuta mtu mzima anapewa kesi kama hii, jaribu kuwaza inawezekana ikawa ni masuala ya kimahusiano baina ya mwanamke na mwanaume ndio yanapelekea kutengenezeana scenario kukomeshana tu.

Binafsi huwa nabaki na walakini.
Inawezekana kuingiliwa kimwili ikawa hakuja kamilika, Ila haiondoi uhalisia kuwa mtoto amenajisiwa.
 
Ukanda huo mambo hizo ni nyingi sana

Mwezi wa kwanza nilikuwa mwananyamala nilikuwa nafatilia vaccin ya corona sasa doctor alikuwa anaringa hatari ni mbibi hivi nilienda kuonana naye akanambia nimsubiri, nikaona uzushi kukaa ndani hospital... kama unapajua panapopatikana chanjo ya corona hapo mwananyamala.. nikakaa Kwa nje kuna frij na mbibi anauza soda nikaagiza mirinda nyeusi nikawa naigigida kidogo kidogo nikimsubiri doctor

Basi ndipo wakaja kusimama pembeni yangu na kuanza kuadithiana wadada watatu na kasichana kalichokuwa kanafanywa na uncle wake

Wadada wawili walimpeleka hospital huyo msichana, ni kasichana kadogo kama cha darasa la pili hivi mjomba ake alikuwa akimwingilia kila siku unaambiwa na bibi yake inasemekana anajua kama mwanae anamuingilia mjukuu wake ila hakuwa akimkalipia.. yaani ushenzi sanaa

Na hako kasichana nacho kalikuwa kanaadithia jinsi alivyokuwa anafanywa mpaka nikajisikia haibu, aisee.. na hako kasichana kanaadithia kuwa alimwambia mjomba wake kuwa atamsemea kwa mama yake ambaye hakuwa anaishi hapo.. mjomba alikuwa anamjibu.. kuwa mambo madogo kama hayo ya nini? Kwenda kumsemea

Walikuwa wanapanga watafute mwanasheria wamfunge huyo ndugu yao ila bibi ambaye ni mwanae huyo mjomba bado anamtetea na wakati imedhihirika kuwa ni kweli amefanya hilo tendo

Kisichana kiliulizwa kwann! Siku zote hausemi na unafanyiwa hivyo anasema alikuwa anatishiwa na huyo mjomba wake na ikitokea akimwambia bibi yake, bibi huwa anamkalipia na kumwambia aache uongo

Nilikaa hapo pembeni nilijisikia vibaya na haibu juu maana nilikuwa naangaliwa kana kwamba mm ndio muusika

By the way na chanjo yenyewe sikuchanja nilichoka kumsubiri doctor plus na ilee haibu nikajiondokea zangu
Masikini, kuna watoto wanapitia matukio ya hovyo na ya kikatili ila ndio hawana mtetezi.
 
Miaka 3.5 anachunga mifugo? Msizae kama hamna muda wa kulea watoto!
Kabisa mimi nadhani kuwe na adhabu ya kifungo cha mwaka kwa aina hii ya wendawazimu ambaye anamuacha mtoto mdogo chini ya miaka 18 katika mazingira tatanishi yasio na ulinzi kwa mtoto.

Unakuta majitu yamekazana kupigana miti bao likija ya amwagia ndani halafu yanabeba mimba kabisa then wanapata watoto halafu kwenye malezi wanatelekezea watu wa ajabu ajabu mara bibi, mara jirani, mara mamdogo, mara shangazi, kwann usilee mtoto wako kwa bidii yako mwenyewe kama ulivyomtafuta shenzified bastard kabisa wewe.....

Mimi nina hasira hapa. Mtoto wa miaka 3 ni mdogo sana aisee.
 
Mimi hizi habari huwa siziamini.

Kweli mtoto wa miaka mi3, anatundu kiasi gani?
Huyo miaka 19 wengine hadi huwa ni wababa huwa wana midenge size gani.

Habari zingine huwa ni kusakizia watu tu waende jela.

Hasa ukikuta mtu mzima anapewa kesi kama hii, jaribu kuwaza inawezekana ikawa ni masuala ya kimahusiano baina ya mwanamke na mwanaume ndio yanapelekea kutengenezeana scenario kukomeshana tu.

Binafsi huwa nabaki na walakini.
Naungana nawee kabisaaa,
 
Kabisa mimi nadhani kuwe na adhabu ya kifungo cha mwaka kwa aina hii ya wendawazimu ambaye anamuacha mtoto mdogo chini ya miaka 18 katika mazingira tatanishi yasio na ulinzi kwa mtoto.

Unakuta majitu yamekazana kupigana miti bao likija ya amwagia ndani halafu yanabeba mimba kabisa then wanapata watoto halafu kwenye malezi wanatelekezea watu wa ajabu ajabu mara bibi, mara jirani, mara mamdogo, mara shangazi, kwann usilee mtoto wako kwa bidii yako mwenyewe kama ulivyomtafuta shenzified bastard kabisa wewe.....

Mimi nina hasira hapa. Mtoto wa miaka 3 ni mdogo sana aisee.
Inahuzunisha!
 
Hili suala kwani lina sintofahamu na mikanganyiko mingii.

Ila ukweli ulio wazi, mtoto wa miaka 3 hana tupu ya kuweza kupokea uume wa mtu mwenye miaka 19, hata wangetumia kilainishi gani, sasa hapo pa kuchunga ng'ombe means mate ndo kilainishi cha haraka, ingewezekanajee? Na km kweli huyo mtoto ameingiliwa, angevuja damu nyingi mnoo, hata nguvu ya kutembea asingekua nayo, eti anasema "Fulani kanipiga na dudu yake huku" khaaaah

Haya matukio ya kusingiziaa watu ulawiti yameshamiri ili kukomesha wabaya wao, na huyo Dr anaficha nn kutoa majibu ya vipimoo. Km sio uongo na unafikii huu.

Huyo Anderson anatafutiwa sababu ya kwenda jelaa, watu wabaya sanaa, ulawitii mchezoo?? Waache kusingizi watu Lol.
 
Back
Top Bottom