Inawezekana kuingiliwa kimwili ikawa hakuja kamilika, Ila haiondoi uhalisia kuwa mtoto amenajisiwa.Mimi hizi habari huwa siziamini.
Kweli mtoto wa miaka mi3, anatundu kiasi gani?
Huyo miaka 19 wengine hadi huwa ni wababa huwa wana midenge size gani.
Habari zingine huwa ni kusakizia watu tu waende jela.
Hasa ukikuta mtu mzima anapewa kesi kama hii, jaribu kuwaza inawezekana ikawa ni masuala ya kimahusiano baina ya mwanamke na mwanaume ndio yanapelekea kutengenezeana scenario kukomeshana tu.
Binafsi huwa nabaki na walakini.
Pumbavu sana peleka daktari na Mbakaji polisi na wazazi pande zote mbili ndani hakuna mjadala hapo.amepokelewa na kufanyiwa vipimo, na kusema majibu ni siri ya mgonjwa na Daktari, hivyo hayupo tayari kuongea chochote.
Hahahah noma na nusu mkuuHawa watoto wa siku hizi wana MABORO MAKUBWA SANA.
Masikini, kuna watoto wanapitia matukio ya hovyo na ya kikatili ila ndio hawana mtetezi.Ukanda huo mambo hizo ni nyingi sana
Mwezi wa kwanza nilikuwa mwananyamala nilikuwa nafatilia vaccin ya corona sasa doctor alikuwa anaringa hatari ni mbibi hivi nilienda kuonana naye akanambia nimsubiri, nikaona uzushi kukaa ndani hospital... kama unapajua panapopatikana chanjo ya corona hapo mwananyamala.. nikakaa Kwa nje kuna frij na mbibi anauza soda nikaagiza mirinda nyeusi nikawa naigigida kidogo kidogo nikimsubiri doctor
Basi ndipo wakaja kusimama pembeni yangu na kuanza kuadithiana wadada watatu na kasichana kalichokuwa kanafanywa na uncle wake
Wadada wawili walimpeleka hospital huyo msichana, ni kasichana kadogo kama cha darasa la pili hivi mjomba ake alikuwa akimwingilia kila siku unaambiwa na bibi yake inasemekana anajua kama mwanae anamuingilia mjukuu wake ila hakuwa akimkalipia.. yaani ushenzi sanaa
Na hako kasichana nacho kalikuwa kanaadithia jinsi alivyokuwa anafanywa mpaka nikajisikia haibu, aisee.. na hako kasichana kanaadithia kuwa alimwambia mjomba wake kuwa atamsemea kwa mama yake ambaye hakuwa anaishi hapo.. mjomba alikuwa anamjibu.. kuwa mambo madogo kama hayo ya nini? Kwenda kumsemea
Walikuwa wanapanga watafute mwanasheria wamfunge huyo ndugu yao ila bibi ambaye ni mwanae huyo mjomba bado anamtetea na wakati imedhihirika kuwa ni kweli amefanya hilo tendo
Kisichana kiliulizwa kwann! Siku zote hausemi na unafanyiwa hivyo anasema alikuwa anatishiwa na huyo mjomba wake na ikitokea akimwambia bibi yake, bibi huwa anamkalipia na kumwambia aache uongo
Nilikaa hapo pembeni nilijisikia vibaya na haibu juu maana nilikuwa naangaliwa kana kwamba mm ndio muusika
By the way na chanjo yenyewe sikuchanja nilichoka kumsubiri doctor plus na ilee haibu nikajiondokea zangu
Nyingi sana atakufa.Saba bakora gani atarudia tena!!apigwe bakora mia moja za nguvu za wanaume wenye nguvu.
Kabisa mimi nadhani kuwe na adhabu ya kifungo cha mwaka kwa aina hii ya wendawazimu ambaye anamuacha mtoto mdogo chini ya miaka 18 katika mazingira tatanishi yasio na ulinzi kwa mtoto.Miaka 3.5 anachunga mifugo? Msizae kama hamna muda wa kulea watoto!
Naungana nawee kabisaaa,Mimi hizi habari huwa siziamini.
Kweli mtoto wa miaka mi3, anatundu kiasi gani?
Huyo miaka 19 wengine hadi huwa ni wababa huwa wana midenge size gani.
Habari zingine huwa ni kusakizia watu tu waende jela.
Hasa ukikuta mtu mzima anapewa kesi kama hii, jaribu kuwaza inawezekana ikawa ni masuala ya kimahusiano baina ya mwanamke na mwanaume ndio yanapelekea kutengenezeana scenario kukomeshana tu.
Binafsi huwa nabaki na walakini.
Inahuzunisha!Kabisa mimi nadhani kuwe na adhabu ya kifungo cha mwaka kwa aina hii ya wendawazimu ambaye anamuacha mtoto mdogo chini ya miaka 18 katika mazingira tatanishi yasio na ulinzi kwa mtoto.
Unakuta majitu yamekazana kupigana miti bao likija ya amwagia ndani halafu yanabeba mimba kabisa then wanapata watoto halafu kwenye malezi wanatelekezea watu wa ajabu ajabu mara bibi, mara jirani, mara mamdogo, mara shangazi, kwann usilee mtoto wako kwa bidii yako mwenyewe kama ulivyomtafuta shenzified bastard kabisa wewe.....
Mimi nina hasira hapa. Mtoto wa miaka 3 ni mdogo sana aisee.