FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Mwanajeshi silaha anatoa wapi wakati anaweza maliza mwaka hata bunduki hajashikakwahiyo jeshi limemfukuza kazi bila kufwatilia mali zake.
inawezekana jamaa ana silaha pia.
Sent using Jamii Forums mobile app