Kilimanjaro: Akamatwa kwa kutumia sare za JWTZ kuwatapeli watu

Kilimanjaro: Akamatwa kwa kutumia sare za JWTZ kuwatapeli watu

Mwenye anayeijua hii kampuni wanadai wanalima VANILA.Anijuze ukweli kwani mbwembwe kibao eti baada ya uwekezaji ndani ya miezi saba unaanza kupata faida
 
Na shida kubwa kule ni nidhamu kwanza,timiza wajibu kwanza,kutii sheria na wakubwa zako,heahimu rais wa jamhuri ya muungano na wa mapinduzi Zanzibar,linda katiba na muungano,n.k hivyo ni ngumu hata MTU kudai masilahi yake kwa uwazi hata kama ananyanyaswa.
 
Hata nyie wanajeshi pia bado njaa inawasumbua pia, kwa ufupi tu vyombo vya ulinzi na usalama kwa bongo maslahi kidogo yapo huko TISS na TPDF ila kwengine tia maji tia maji.
Katika vyombo vya usalama TAKUKURU angalau wana maslahi mazuri

faida ya kuwa usalama wa taifa ni kuwa untouchable tu mfano nina dogo langu bandarini ni mwanakitengo huwa anapiga magendo akijua kabisa hakuna wa kumfanya chochote
 
Hata nyie wanajeshi pia bado njaa inawasumbua pia, kwa ufupi tu vyombo vya ulinzi na usalama kwa bongo maslahi kidogo yapo huko TISS na TPDF ila kwengine tia maji tia maji.
Hii nyuzi ilitaka kunipita.[emoji1]
 
Katika vyombo vya usalama TAKUKURU angalau wana maslahi mazuri

faida ya kuwa usalama wa taifa ni kuwa untouchable tu mfano nina dogo langu bandarini ni mwanakitengo huwa anapiga magendo akijua kabisa hakuna wa kumfanya chochote
Ila TISS wako njema pia mkuu, kuna Mamlaka moja hapo katikati pia wako njema mno.
 
kinachowabeba TISS ni professional uliyosomea mfano kama ni Daktari ukawa sleeper cell kwenye hiyo fani inatapa mshahara pande zote mbili

lkn hawa makanjanja wa mtaani mfano mafundi viatu mshahara wao ni wa kawaida tu kama walimu kinachowabeba ni posho tu


TISS ambae ambae ni muajiriwa wa TPDC,TRA,BOT,TPA au TANROAD huwezi kulingana maslahi na TISS kanjanja muuza kahawa so kinachowabeba ni ile mishahara ya professional zao
Ila TISS wako njema pia mkuu, kuna Mamlaka moja hapo katikati pia wako njema mno.
 
kinachowabeba TISS ni professional uliyosomea mfano kama ni Daktari ukawa sleeper cell kwenye hiyo fani inatapa mshahara pande zote mbili

lkn hawa makanjanja wa mtaani mfano mafundi viatu mshahara wao ni wa kawaida tu kama walimu kinachowabeba ni posho tu


TISS ambae ambae ni muajiriwa wa TPDC,TRA,BOT,TPA au TANROAD huwezi kulingana maslahi na TISS kanjanja muuza kahawa so kinachowabeba ni ile mishahara ya professional zao
Hao waliokuwa huko ni penetration/infiltration officer hawa bahati wanayopata ni kwamba wao wanaingia kwenye salary scale za hizo taasisi kubwa, nina wadau wangu wengi tu ni penetration officers katika baadhi ya Mamlaka ila nao bado sio kiivyo.
 
Back
Top Bottom