Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuuu,
Wananchi wa Jimbo la Siha wameonyesha nia thabiti ya kumuunga mkono Mbunge wao, Godwin Mollel, kwa kuahidi kuhakikisha wanamchukulia fomu ya kugombea tena Ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Soma pia: Kuelekea 2025 Kilimanjaro: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wananchi hao walisema kuwa wanaridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Mbunge wao, hususan katika kusukuma mbele maendeleo ya jimbo hilo.
Source: Global TV Online
==================================================
Hii strategy ya kuchukuliana fomu mbona inakuwa popular sana.
Au ndo siku hizi wanasiasa wamebuni hii mbinu mpa ya kujifanya wanachukuliwa fomu ili kuonekana wanakubalika sana?
Wananchi wa Jimbo la Siha wameonyesha nia thabiti ya kumuunga mkono Mbunge wao, Godwin Mollel, kwa kuahidi kuhakikisha wanamchukulia fomu ya kugombea tena Ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Soma pia: Kuelekea 2025 Kilimanjaro: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wananchi hao walisema kuwa wanaridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na Mbunge wao, hususan katika kusukuma mbele maendeleo ya jimbo hilo.
Source: Global TV Online
==================================================
Hii strategy ya kuchukuliana fomu mbona inakuwa popular sana.
Au ndo siku hizi wanasiasa wamebuni hii mbinu mpa ya kujifanya wanachukuliwa fomu ili kuonekana wanakubalika sana?