Kilimanjaro: Binti adaiwa kumuua mama yake kisha kumng’oa macho

Kama ni yeye mhusika inaonekana ana sifa za u psychopath. Kama si ivyo she has psychologically trained herself to be a serial killer ,au ni tu movie twa hollywood tulimpa guts 😂😂😂😂
 
Wachaga Sio watu kabisa


USSR
 
Huyo Mama kauwawa na wauwaji wa kweli ambao wanajuwa jinsi ya kupoteza ushahidi, ndiyo maana wamenyofowa macho!! Ngoja niishie hapa nisije nikaharibu Upelelezi wa wenyewe bure!!
 
Exactly
Sisi ni wanyama nyie ni binadamu
Pathetic!!!
Mnavyobaguana mkiwa huko Moshi Mara huyu ni mrombo mkibosho Mana dhambi ya ukabila itakula mpaka ukiwa mrombo utaanza kuangalia Koo kiubaguzi.mtabaguana mpaka family level.
Kwanza ivi Kuna wachaga kwani Kuna kabila la kichaga kweli Mana wilaya moja makabila Kama kumi tofautitofauti.
Mie hata mchaga bure sioi
 
Uchunguzi ufanyike aisee... Mama ni mlemavu mtoto ni binti tena form four amng'oe mama ake macho it doesn't make sense kuna mtoa kafara hapo maiki za media na camera zao hazijammulika
...Kweli, Hata haingii akilini Mkuu. Binti wa Form Four, hawa hawa Mabinti zetu tunavyowajua, apate ujasiri wa kumnyonga mama yake mzazi kilema kwa Shuka kisha apate tena Ujasiri wa kumn'goa macho maiti??
Hii ifuatiliwe vyema. Kuna la zaidi hapa....
 
Binti km alikuwa anatizama filamu basi kawa mwalimu hasa wa hizo filamu mpk kamtoa macho Mama.
 
I think she was insane at material time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…