Kilimanjaro: Binti adaiwa kumuua mama yake kisha kumng’oa macho

Acheni hizi hukumu za kimakundi na kikabila.
Unataka kusema hakuna watu wema uchagani au watu wabaya kwenye kabila lako?
NB: Mimi siyo mchagga.
Nikionaga mtu anakemea mambo ya ukabila napenda sana. Nachukia sana watu wanaoutukuza pia. Mimi katika kukua kwangu nilikua nasaidiwa na watu wa makabila mbalimbali na sometimes wanakupenda tu kuliko hata ndugu zangu.
 

halafu mnataka chadema itawale nchi wachaga watupu tutakwisha
 
Ili tukio natamani sana kuendelea kulijua ili nijue mwisho wake lakini sizani kama uyo mtoto atakuwa ndo muhusika mkuu wa tukio hilo kunakitu kimejificha apa..
 
Huko Kirimanjaro nako kuna mambo ya ajabuajabu sana.
Nakumbuka miaka ya nyumba Mwalimu mmoja wa shule ya msingi alimkata kichwa mama yake mzazi na kwenda kukitupa kichwa kwenye mashamba ya mpunga! What's going on there friends?
 
Uchunguzi ufanyike aisee... Mama ni mlemavu mtoto ni binti tena form four amng'oe mama ake macho it doesn't make sense kuna mtoa kafara hapo maiki za media na camera zao hazijammulika
Wachaga wanajuana. It's obvious!
 
Acheni hizo kaka aangushe jumba kwa lipi?. Acheni kuwachochea polisi maana hawa jamaa huwa ni kipigo kikali katika kupata taarifa wasije mchapa kaka bure. Ukute kaka anaishi mbali na familia na hapo wanaishi wawili tu mama na binti kaka kapewa taarifa ya kifo akaja fasta ndio kutoa taarifa. Tuache ujuaji.
 
Alitoboa ili kupoteza ushahidi maana mtu akifa kwenye macho image ya vitu vya mwisho kuviona huwa inabaki machoni.

Hapo kuna mchezo unaendelea kwanza inaonekana muaji ni mtu mwenye uzoefu, pili huyo mtoa taarifa alijja kuea huyo bint ndio kahusika ?
 
Jamaa kwa hela tu hawajambo.yaani manka kukuua afu zile hela ziende kwao ni kawaida Sana na anasifiwa huko kwao na kufanyiwa party kuwa wewe ni jasiri mwanetu
Kina Manka bwana wana roho ngumu sana katika maamuzi ya pesa na uhai wa mtu....sasa basi, angalia wanavyopenda dini utafikiri ndiyo wao walioanzisha hapa duniani. Mchana na jioni kutwa kuswali, usiku wanaruka kushindana na popo na bundi kwenda kufinya watu waliolala majumbani mwao.
 
Ili tukio natamani sana kuendelea kulijua ili nijue mwisho wake lakini sizani kama uyo mtoto atakuwa ndo muhusika mkuu wa tukio hilo kunakitu kimejificha apa..
Ngoja tuone uchunguzi wa Polisi utatoa majibu gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…