Mnavyobaguana mkiwa huko Moshi Mara huyu ni mrombo mkibosho Mana dhambi ya ukabila itakula mpaka ukiwa mrombo utaanza kuangalia Koo kiubaguzi.mtabaguana mpaka family level.
Kwanza ivi Kuna wachaga kwani Kuna kabila la kichaga kweli Mana wilaya moja makabila Kama kumi tofautitofauti.
Mie hata mchaga bure sioi
Kasingiziwa huyo,hilo li Kaka lake ndo litakuwa liuaji labda Kuna shamba au nyumba linataka kurithi limeona anachelewa kufa na uzee ,likafanya njama ya kuumaliza mapema na kumsingizia huyo binti.Binti mdogo halafu kamuua mama yake,kamnyonga,halafu baada ya kufa kampiga na kitu kizito,halafu kamtoa na macho,hapa uchunguzi wa kina unahitajika kwanini ampige na kitu kizito baada ya kumnyonga,na hayo macho kwanini kayatoa kama lengo lilikuwa ni kumuua tu...?
Kaa mbali na sisi.Wachaga nawaogopaga kama UKOMA.