Kilimanjaro: Binti adaiwa kumuua mama yake kisha kumng’oa macho


[emoji849][emoji849][emoji849]ukioa usipooa wapi mbaya hapo
Embu pumzisha akili kijana acha kudemka
 
Ukute kasingiziwa ,mtoto wa kike kwa mama yake anakuwaga na huruma mno,Mimi Nina wasiwasi na huyo mtoto wa kiume,Kuna uwezekano amefanya mbinu anataka kurithi shamba au nyumba wachunguze vizuri
 
Kasingiziwa huyo,hilo li Kaka lake ndo litakuwa liuaji labda Kuna shamba au nyumba linataka kurithi limeona anachelewa kufa na uzee ,likafanya njama ya kuumaliza mapema na kumsingizia huyo binti.
 
tubadilishane na kenya aichukue kilimanjaro atupe mombasa kama ilivyokuwa zamani kwenye ramani wachaga wakakae kenya

Hahahaa,, kwahyo Kilimanjaro iende Kenya au Wachaga ndio wahamie Kenya!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…