Kilimanjaro: Diwani atoweka baada ya fumanizi

Madanda alisema diwani huyo alitoweka baada ya chama hicho kumdhamini kwa tuhuma za fumanizi la mke wa Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata ya Lundugai, Zebedayo Makalla na kuahidi kumlipa mwenye mke shilingi milioni 2.5 za ugoni.
Yaelekea mwenezi hakuwa anawajibika ipasavyo kwa mkewe
 
Kata inaitwa Rundugai Sio Lundugai punguza kipago.mzaramo
 
DIWANI KAACHIWA MKE WA MWENZAKE, KAAMUA KUKIMBIA!🤣
ALIYEIBIWA MKE NAYE ACHUKUE MKE WA DIWANI SASA.

KAZI NA IENDELEE
 
Huyo mwanamke asiye na maadili na kuchakatwa na wakuu wa chama chake ana hali gani kwa Sasa?
Je? Nikawaida yake kuwapa viongozi wake burudani au ni hiyo Mara moja tu?
 
Umemfumania mkeo halafu unampiga faini mgoni wako milioni 2.5, sasa kwanini usimuwekee mkeo bango usoni anauzwa kwa milioni 2.5 ili usisumbuane na watu?
 
Kwahio hili tukio polisi hawajaliona anasakwa na wanaCCM tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hakuna sehem mtoa mada kamnukuu OCD anamtafuta, zaidi ya mwenyekiti wa chama tu.

Eti "hatua kali za kinidhamu"??

Hio ni both criminal and disciplinary offence
 
Huyo jamaa ni tapeli na mshirikina mbobezi. Haha sifa za kuongoza kata yetu
 
Wameamuwa Walane wao kwa wao
 
haaaaa, nyie wapare si mngelipa huo ugoni.

Wengine washaamua kufanya wake zao vitega uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…