Nyie vijana wa wa shule za yebo yebo huo ndio mtindio wa ubongo mlio nao. Uzuri pamoja na kuishi ukanda huo pia ni msafiri mzuri na mtumiaji wa viwanja hivyo viwili KIA na JKIA. Ukiniambia KIA ndege zimeongezeka nashindwa kukuelewa nikiwa nimefanya uwanja huo zaidi ya miaka 10 na nikijua jinsi kiwango cha upokeaji wa ndege na abiria kilivyoshuka sana.
Labda tu kwa kukusaidia wewe yebo yebo product ni kwamba uko nyuma uwanja wa ndege ulikuwa una ndege nyingi zinatua zikiwa ni za abiria na Cargo. Zilikuwepo ndege kama Condor abiria na cargo, Catar, Turkish, KLM, Ethiopia, British Airways, Kenya Airways.
Sasa hivi zote hizi zinashuka JKIA isipokuwa KLM, Ethiopia na Kenya Airways, nyingine zote zinaishia Nairobi. Niambie sasa ukuaji wako unaongelea nini. Zamani zilikuwa zinakuja ndege kuja kuchua maua, sasa hivi yanachukuliwa Nairobi.
Nachukia yebo yebo kuita watu ****** wakati ukimuuliza hata maana ya ****** hajui