Kilimanjaro Int. airport yaitupa Nairobi mbali kwa kasi ya ukuaji.

Kilimanjaro Int. airport yaitupa Nairobi mbali kwa kasi ya ukuaji.

Ni kweli wewe ni bongolala Kwahiyo huwezi kujua statistics za Air Travel Analysis.
Unajua umu ndani kuna vichwa vimeoza na vikikurupuka vinadhani na vya wengine ni kama wao. Ni heli ungejiona na ujilinganishe na mimi. Hata ukikutana na mimi utatoa shikamoo kumi. Nani kati yangu na wewe anajua Air Travel Analysis? Huo mlinganisho wa bongo lala linganisha wewe na baba yako
 
That is good move for KIA and Tanzania .....I really appreciate what has been done to make that happening......we are growing slowly but sure.....Mungu ibariki Tanzania. ...Mungu ibariki Africa! !
the things growing slowly are only your wool under your pants.
 
Unajua umu ndani kuna vichwa vimeoza na vikikurupuka vinadhani na vya wengine ni kama wao. Ni heli ungejiona na ujilinganishe na mimi. Hata ukikutana na mimi utatoa shikamoo kumi. Nani kati yangu na wewe anajua Air Travel Analysis? Huo mlinganisho wa bongo lala linganisha wewe na baba yako
Wewe ni pumpkin of its kind you can't underestimate multitude of jets pouring tourists on Kilimanjaro by that dummy statement eti vindege havijai mkononi you are dilapidated troll.
 
Wewe ni pumpkin of its kind you can't underestimate multitude of jets pouring tourists on Kilimanjaro by that dummy statement eti vindege havijai mkononi you are dilapidated troll.

Hahahaaa....All said and done,those are few planes coming to Kili......By the what happened to that airport,it's hardly known outside the borders of TZ???
 
Ni kweli wewe ni bongolala Kwahiyo huwezi kujua statistics za Air Travel Analysis.
Nikisaidie kama hujui Jomo Kenyatta International Airport in among top 5 in Africa, hii hapa chini.







Na Hii Ndo KIA yako




 
Hahahaaa....All said and done,those are few planes coming to Kili......By the what happened to that airport,it's hardly known outside the borders of TZ???
The news came by this world massive media house on my total senses is located in Sumbawanga Tanzania absolutely inside Tanzania boundaries
CNBC_HQ_3280x1560_HR_1280x725_554376771718.jpg
 
Nikisaidie kama hujui Jomo Kenyatta International Airport in among top 5 in Africa, hii hapa chini.







Na Hii Ndo KIA yako




Duh yaani unanifundisha Jomo Kenyatta mimi that is one among my local airports I admire the field alot but to keep record clear the report was not based on how fancy and comfortable coaches the airport lobby possessed with but only number of arrivals nail that.

And for your updates KIA is under a massive transition
Get to know Kilimanjaro International Airport | U/C - Page 2 - SkyscraperCity
 
Mimi ni Mtanzania tena mzalendo ila katika ili I beg to differ. Kilimanjaro (KIA) niijuayo au nyingine. Vindege vya kujaa kiganjani ndio vimpuki Nairobi labda naota
Wewe ni mmoja wa watanzania vi laza na mbumbumbu.yaani hujui kitu "kukua" na "kikubwa"?
nairobi ni kubwa hatukatai lakini kwene ukuaji kia inakua maradufu. Yaani ni kusema uwanja wa nairobi hakuna tofauti kubwa ya abiria hasa kwa asilimi a ukilinganisha na dar
 
Depay kumbuka hii ni airport iliyopanuliwa baada ya kukataa tour vans kupita JKIA. So the numbers mean a lot to us.
 
So having that growth means more tourists r avoiding JKIA n land straight on Tanzanian soil Depay, a thing Kenya is cunningly trying to disrupt with common marketing n common visa. Viva KIA n down dependence on JKIA.
 
Wewe ni mmoja wa watanzania vi laza na mbumbumbu.yaani hujui kitu "kukua" na "kikubwa"?
nairobi ni kubwa hatukatai lakini kwene ukuaji kia inakua maradufu. Yaani ni kusema uwanja wa nairobi hakuna tofauti kubwa ya abiria hasa kwa asilimi a ukilinganisha na dar
Nyie vijana wa wa shule za yebo yebo huo ndio mtindio wa ubongo mlio nao. Uzuri pamoja na kuishi ukanda huo pia ni msafiri mzuri na mtumiaji wa viwanja hivyo viwili KIA na JKIA. Ukiniambia KIA ndege zimeongezeka nashindwa kukuelewa nikiwa nimefanya uwanja huo zaidi ya miaka 10 na nikijua jinsi kiwango cha upokeaji wa ndege na abiria kilivyoshuka sana.
Labda tu kwa kukusaidia wewe yebo yebo product ni kwamba uko nyuma uwanja wa ndege ulikuwa una ndege nyingi zinatua zikiwa ni za abiria na Cargo. Zilikuwepo ndege kama Condor abiria na cargo, Catar, Turkish, KLM, Ethiopia, British Airways, Kenya Airways.
Sasa hivi zote hizi zinashuka JKIA isipokuwa KLM, Ethiopia na Kenya Airways, nyingine zote zinaishia Nairobi. Niambie sasa ukuaji wako unaongelea nini. Zamani zilikuwa zinakuja ndege kuja kuchua maua, sasa hivi yanachukuliwa Nairobi.
Nachukia yebo yebo kuita watu kilaza wakati ukimuuliza hata maana ya kilaza hajui
 
Nyie vijana wa wa shule za yebo yebo huo ndio mtindio wa ubongo mlio nao. Uzuri pamoja na kuishi ukanda huo pia ni msafiri mzuri na mtumiaji wa viwanja hivyo viwili KIA na JKIA. Ukiniambia KIA ndege zimeongezeka nashindwa kukuelewa nikiwa nimefanya uwanja huo zaidi ya miaka 10 na nikijua jinsi kiwango cha upokeaji wa ndege na abiria kilivyoshuka sana.
Labda tu kwa kukusaidia wewe yebo yebo product ni kwamba uko nyuma uwanja wa ndege ulikuwa una ndege nyingi zinatua zikiwa ni za abiria na Cargo. Zilikuwepo ndege kama Condor abiria na cargo, Catar, Turkish, KLM, Ethiopia, British Airways, Kenya Airways.
Sasa hivi zote hizi zinashuka JKIA isipokuwa KLM, Ethiopia na Kenya Airways, nyingine zote zinaishia Nairobi. Niambie sasa ukuaji wako unaongelea nini. Zamani zilikuwa zinakuja ndege kuja kuchua maua, sasa hivi yanachukuliwa Nairobi.
Nachukia yebo yebo kuita watu ****** wakati ukimuuliza hata maana ya ****** hajui
Acha ujuha dogo.rudi kasome shule tena usikariri lofa.nshakuambia kuwa ni kweli nairobi airport ni kubwa lakin percent ya ukuaji ni ndogo kulinganisha na kia mbona huelewi kiazi mviringo we.ukitaka kunielewa chukulia mathalan mgano wa usa na china.ni kweli usa uchumi wake mkubwa kuliko,yaani usa$trilion 18 wakati china ni $ trilion 12.
lakini china % ya ukuaji wa uchumi wake ni kubwa kuliko usa yaani usa 2-3% wakati china ni 6-8%.usibishane na mimi mwendokasi we
 
the things growing slowly are only your wool under your pants.
Chongchung is he okey ? So what is the problem if you kept quite instead of vomiting toward my post buddy? Are you in denial or you did not expect that move ... .whether you like or you don't we are still moving ...
 
Acha ujuha dogo.rudi kasome shule tena usikariri lofa.nshakuambia kuwa ni kweli nairobi airport ni kubwa lakin percent ya ukuaji ni ndogo kulinganisha na kia mbona huelewi kiazi mviringo we.ukitaka kunielewa chukulia mathalan mgano wa usa na china.ni kweli usa uchumi wake mkubwa kuliko,yaani usa$trilion 18 wakati china ni $ trilion 12.
lakini china % ya ukuaji wa uchumi wake ni kubwa kuliko usa yaani usa 2-3% wakati china ni 6-8%.usibishane na mimi mwendokasi we
Elimu niliyo nayo naweza kuwagawia wewe na ukoo wako. Tuache hayo wewe yebo yebo. Acha kulinganisha sikio la tembo na la sungura. Kujisifia unaendelea vizuri kisa ulikuwa unakula mtama mlo mmoja sasa unakula wali milo miwili wakati mwenzako katoka kwenye milo mitatu ya balanced diet na anakula milo ya kawaida ambayo wewe huwezi kupata ndo ujuha unaosema na amabao unao
 
Kuna hako ka statement

Whilst a 2% growth for Nairobi may not sound so impressive, its capacity is around four times that of Kigali.


Kigalis capaciticy is approx 800,000
......

Kilimanjaro is .....lets just round it off to the nearest million...... that will be 1million persengers.........

JNIA which is not on the list is 2,400,000


JKIA is 6,500,000... even if you add kili and JN that will be 3.4million...... JKIA will still be twice the capacity of kili and jnia combined
 
Nikisaidie kama hujui Jomo Kenyatta International Airport in among top 5 in Africa, hii hapa chini.







Na Hii Ndo KIA yako




We jamaa unajiita mwananchi unajiaibisha bure hapa,
Hata hujaelewa mleta mada anazungumzia nini, pole
 
Depay kumbuka hii ni airport iliyopanuliwa baada ya kukataa tour vans kupita JKIA. So the numbers mean a lot to us.

Good.Atleast you are admitting that the is a sigh of relief for an Airport that was and is underperforming and whilst it carries the name tag international.It's good news I know.
 
Kuna hako ka statement

Whilst a 2% growth for Nairobi may not sound so impressive, its capacity is around four times that of Kigali.


Kigalis capaciticy is approx 800,000
......

Kilimanjaro is .....lets just round it off to the nearest million...... that will be 1million persengers.........

JNIA which is not on the list is 2,400,000


JKIA is 6,500,000... even if you add kili and JN that will be 3.4million...... JKIA will still be twice the capacity of kili and jnia combined
Kafrican wacha kupotosha uma, JNIA handles 3.5psn annually.
After we complete terminal 3 early 2017 we'll handle 9.5 psns .
What do u say?
 
Back
Top Bottom