that airport will surprass a mln mark for PAX this year! Was built to handle only 500,000 PAX in 1970s and now is being expanded! Why not being happy for that progress?Good.Atleast you are admitting that the is a sigh of relief for an Airport that was and is underperforming and whilst it carries the name tag international.It's good news I know.
Uelewa wako na wangu ni tofauti kwa hiyo ukidhani umeelewa kumbe hujui kitu. Nimemsoma mleta mada word by word na kumuelewa vizuri. Soma kichwa cha habari utaona ulivyo mbumbu katika uelewa wako. Kawaida kichwa cha habari uwakilisha habari kamili. But I don't blame you it might be that the capacity of your understanding is the cause you to jump on topic without knowing deeply what is written. Ameandika "Kilimanjaro Int. airport yaitupa Nairobi mbali kwa kasi ya ukuaji"We jamaa unajiita mwananchi unajiaibisha bure hapa,
Hata hujaelewa mleta mada anazungumzia nini, pole
Huge paragraphs empty words..,Uelewa wako na wangu ni tofauti kwa hiyo ukidhani umeelewa kumbe hujui kitu. Nimemsoma mleta mada word by word na kumuelewa vizuri. Soma kichwa cha habari utaona ulivyo mbumbu katika uelewa wako. Kawaida kichwa cha habari uwakilisha habari kamili. But I don't blame you it might be that the capacity of your understanding is the cause you to jump on topic without knowing deeply what is written. Ameandika "Kilimanjaro Int. airport yaitupa Nairobi mbali kwa kasi ya ukuaji"
Ukisoma kichwa cha habari unaelewaje uku ukiweka ulinganisho I mean the real comparison between KIA and JKIA. Ukiwa umezoea kula mtama na mwezako anakula diet iliyojitosheleza siku ukiona umekula wali mara moja kwa siku husijione kichwa kumsidi yule aliyekuwa anakula diet full leo anakula milo mitatu kwa siku
I like it "TANZANIA IS BOTH A COUNTRY AND NATION"...... We're big nation Tz[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173]Pwihihihihi hahah.
What now your talking about?
Kwajinsi ulivyo na akili fupi na kuaminishwa kuwa TZ are lazy then hawawezi kufanya chochote.
Hiyo ndio propaganda mliyo lishwa na wakuu wenu. Hamfahamu kuwa huo ni ujinga. The person your calling lazy is feeding you.
What kind of stupidity you have Kenyans.
Hakafu you say you don't have expectation from the big nation TZ!!!?
Tanzania is both a country and Nation. But kenya is only a country.
Hahahahahahah!!!!.
Kweli kabisa kaka jirani. Usichoke kumuelemisha wenzenu tofauti baina ya kasi ya ukuaji (rate) na ukubwa (size).Uelewa wako na wangu ni tofauti kwa hiyo ukidhani umeelewa kumbe hujui kitu. Nimemsoma mleta mada word by word na kumuelewa vizuri. Soma kichwa cha habari utaona ulivyo mbumbu katika uelewa wako. Kawaida kichwa cha habari uwakilisha habari kamili. But I don't blame you it might be that the capacity of your understanding is the cause you to jump on topic without knowing deeply what is written. Ameandika "Kilimanjaro Int. airport yaitupa Nairobi mbali kwa kasi ya ukuaji"
Ukisoma kichwa cha habari unaelewaje uku ukiweka ulinganisho I mean the real comparison between KIA and JKIA. Ukiwa umezoea kula mtama na mwezako anakula diet iliyojitosheleza siku ukiona umekula wali mara moja kwa siku husijione kichwa kumsidi yule aliyekuwa anakula diet full leo anakula milo mitatu kwa siku