Tetesi: Kilimanjaro: Kijana mpiga Debe alawitiwa kisha kutobolewa utumbo

Tetesi: Kilimanjaro: Kijana mpiga Debe alawitiwa kisha kutobolewa utumbo

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana na kwa kweli walikuwa wachapa kazi watu wa kusaka chapaa sana, pasipo kuchoka, watu wenye haiba fulani na ucha Mungu wa kuzugia.

Sifa zao ni nyingi sana laaaaula haya niliyoyasikia baada ya kufika mkoani mwao ni aibu. Nianze na Ili kubwa jipya!

Nimeamka zangu kidume nikasogea maeneo ya Himo pale kwenye kabenki ka NMB Mzee kuchukua kabalance ka kununua mtori, baada ya kupata fedha navuka upande wa pili Ili nipande SHATO kwenda Town naambiwa hapa hakuna stendi, yaani gari hazismami hapo siku hizi nikauliza tatizo nini?

Jibu nililopewa nilitamani ardhi ipasuke inimeze niachane na hii Dunia iliyojaa ufedhuri.

Naambiwa heti kuna kijana alikuwa anapiga debe mahala pale alilawitiwa na kisha baada ya kufanyiwa hivyo waliomfanyia unyama ule wakaamua kumtoboa toboa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwemo tumboni machoni na kwingine aise na huyo kijana yupo hoi hosptali.

Ghafla nilijihisi mwenye mikosi maana tangu nimeingia mkoani humu nasikia matukio ya ajabu ajabu tu
mara Padri alawiti watoto, Marangu kijana auawa mara kijana alawitiwa hivi ni Pepo gani linawakumba ndugu zetu wachaga?Hivi kweli mmekengeuka kiasi hiki?

Juzi nikiwa naenda zangu town kutoka hapo barabara ya Kilema Askari wa magendo barabarani walismamisha hiace niliyokuwa nimeipanda, ghafla wakamdaka jamaa akiwa amebeba mirungi ubavuni mwangu nikajihisi ni mwenye mikosi walahi nitaondoka mkoani hapa ni historia mbaya siku nikishuka MADARAKA makubwa kama ya Magufuli nitawashughulikia vilivyo.

Huu ujinga mnahitaji kutandikwa bakora kila mchaga popote alipo mnaiaibisha nchi.
 
Matukio ya kihalifu yapo kila mahali. Sema hayaripotiwi. Huku uswazi mbona kuna matukio ya ajabu mengi tu.
 
Kunywa pombe lala mtaroni wakutupie mayai....

Shida ni kukua kwa miji hivyo kuzaliwa kwa tabia na maadili tofauti tofauti....

Nenda Ro**o sasa[emoji28][emoji28][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Siku hizi hakuna sehemu salama.... Vatican kwenyewe kuna ushetani wa kutosha sembuse hapo Kilimanjaro!
 
Kuna kisa kizito cha kisasi juu ya huyo mtu!
Hata kama mamende kwa Nini ya mtoboe macho na tumbo?
Kuna yule bwana mwingine mpemba alimwagiwa tindikali Moshi?
...from no where no reason mtu akumwagie tindikali tena aliyemwagia alishamuonya?
 
Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana na kwa kweli walikuwa wachapa kazi watu wa kusaka chapaa sana, pasipo kuchoka, watu wenye haiba fulani na ucha Mungu wa kuzugia.

Sifa zao ni nyingi sana laaaaula haya niliyoyasikia baada ya kufika mkoani mwao ni aibu. Nianze na Ili kubwa jipya!

Nimeamka zangu kidume nikasogea maeneo ya Himo pale kwenye kabenki ka NMB Mzee kuchukua kabalance ka kununua mtori, baada ya kupata fedha navuka upande wa pili Ili nipande SHATO kwenda Town naambiwa hapa hakuna stendi, yaani gari hazismami hapo siku hizi nikauliza tatizo nini?

Jibu nililopewa nilitamani ardhi ipasuke inimeze niachane na hii Dunia iliyojaa ufedhuri.

Naambiwa heti kuna kijana alikuwa anapiga debe mahala pale alilawitiwa na kisha baada ya kufanyiwa hivyo waliomfanyia unyama ule wakaamua kumtoboa toboa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwemo tumboni machoni na kwingine aise na huyo kijana yupo hoi hosptali.

Ghafla nilijihisi mwenye mikosi maana tangu nimeingia mkoani humu nasikia matukio ya ajabu ajabu tu
mara Padri alawiti watoto, Marangu kijana auawa mara kijana alawitiwa hivi ni Pepo gani linawakumba ndugu zetu wachaga?Hivi kweli mmekengeuka kiasi hiki?

Juzi nikiwa naenda zangu town kutoka hapo barabara ya Kilema Askari wa magendo barabarani walismamisha hiace niliyokuwa nimeipanda, ghafla wakamdaka jamaa akiwa amebeba mirungi ubavuni mwangu nikajihisi ni mwenye mikosi walahi nitaondoka mkoani hapa ni historia mbaya siku nikishuka MADARAKA makubwa kama ya Magufuli nitawashughulikia vilivyo.

Huu ujinga mnahitaji kutandikwa bakora kila mchaga popote alipo mnaiaibisha nchi.
Acha ungexe wewe,yani wewe umeona wachaga ndo wenye hayo matukio???kila kona sasa hivi matukio hayo yanatokea,alafu wewe muoga sana kama huwezi kuishi kwa wagumu nenda kwenu kwa wapaka poda dar,
 
Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana na kwa kweli walikuwa wachapa kazi watu wa kusaka chapaa sana, pasipo kuchoka, watu wenye haiba fulani na ucha Mungu wa kuzugia.

Sifa zao ni nyingi sana laaaaula haya niliyoyasikia baada ya kufika mkoani mwao ni aibu. Nianze na Ili kubwa jipya!

Nimeamka zangu kidume nikasogea maeneo ya Himo pale kwenye kabenki ka NMB Mzee kuchukua kabalance ka kununua mtori, baada ya kupata fedha navuka upande wa pili Ili nipande SHATO kwenda Town naambiwa hapa hakuna stendi, yaani gari hazismami hapo siku hizi nikauliza tatizo nini?

Jibu nililopewa nilitamani ardhi ipasuke inimeze niachane na hii Dunia iliyojaa ufedhuri.

Naambiwa heti kuna kijana alikuwa anapiga debe mahala pale alilawitiwa na kisha baada ya kufanyiwa hivyo waliomfanyia unyama ule wakaamua kumtoboa toboa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwemo tumboni machoni na kwingine aise na huyo kijana yupo hoi hosptali.

Ghafla nilijihisi mwenye mikosi maana tangu nimeingia mkoani humu nasikia matukio ya ajabu ajabu tu
mara Padri alawiti watoto, Marangu kijana auawa mara kijana alawitiwa hivi ni Pepo gani linawakumba ndugu zetu wachaga?Hivi kweli mmekengeuka kiasi hiki?

Juzi nikiwa naenda zangu town kutoka hapo barabara ya Kilema Askari wa magendo barabarani walismamisha hiace niliyokuwa nimeipanda, ghafla wakamdaka jamaa akiwa amebeba mirungi ubavuni mwangu nikajihisi ni mwenye mikosi walahi nitaondoka mkoani hapa ni historia mbaya siku nikishuka MADARAKA makubwa kama ya Magufuli nitawashughulikia vilivyo.

Huu ujinga mnahitaji kutandikwa bakora kila mchaga popote alipo mnaiaibisha nchi.
Waliofanya hivyo siyo wachaga bali wageni kutoka mikoa mengine hasa pwani na kusini huko.

Cc adriz Accumen Mo
 
Sehemu Moja huko huko, (jina kampuni) alipatikana na nyeti za wanaume. Walichokosea jamaa alipata kipigo na kupoteza maisha. Sijui nyeti zilienda wapi. Huenda ni biashara kama ngozi ya binadamu.
 
Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana na kwa kweli walikuwa wachapa kazi watu wa kusaka chapaa sana, pasipo kuchoka, watu wenye haiba fulani na ucha Mungu wa kuzugia.

Sifa zao ni nyingi sana laaaaula haya niliyoyasikia baada ya kufika mkoani mwao ni aibu. Nianze na Ili kubwa jipya!

Nimeamka zangu kidume nikasogea maeneo ya Himo pale kwenye kabenki ka NMB Mzee kuchukua kabalance ka kununua mtori, baada ya kupata fedha navuka upande wa pili Ili nipande SHATO kwenda Town naambiwa hapa hakuna stendi, yaani gari hazismami hapo siku hizi nikauliza tatizo nini?

Jibu nililopewa nilitamani ardhi ipasuke inimeze niachane na hii Dunia iliyojaa ufedhuri.

Naambiwa heti kuna kijana alikuwa anapiga debe mahala pale alilawitiwa na kisha baada ya kufanyiwa hivyo waliomfanyia unyama ule wakaamua kumtoboa toboa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwemo tumboni machoni na kwingine aise na huyo kijana yupo hoi hosptali.

Ghafla nilijihisi mwenye mikosi maana tangu nimeingia mkoani humu nasikia matukio ya ajabu ajabu tu
mara Padri alawiti watoto, Marangu kijana auawa mara kijana alawitiwa hivi ni Pepo gani linawakumba ndugu zetu wachaga?Hivi kweli mmekengeuka kiasi hiki?

Juzi nikiwa naenda zangu town kutoka hapo barabara ya Kilema Askari wa magendo barabarani walismamisha hiace niliyokuwa nimeipanda, ghafla wakamdaka jamaa akiwa amebeba mirungi ubavuni mwangu nikajihisi ni mwenye mikosi walahi nitaondoka mkoani hapa ni historia mbaya siku nikishuka MADARAKA makubwa kama ya Magufuli nitawashughulikia vilivyo.

Huu ujinga mnahitaji kutandikwa bakora kila mchaga popote alipo mnaiaibisha nchi.
kama si ugonjwa basi wewe una matatizo kila mtanzania amekuwa akijua wachaga ni wezi na majambazi, hiyo habari ya ucha Mungu wengi hujua baadaye.
 
kama si ugonjwa basi wewe una matatizo kila mtanzania amekuwa akijua wachaga ni wezi na majambazi, hiyo habari ya ucha Mungu wengi hujua baadaye.
Acha ungexe,kila mtu mwizi wewe mwenyewe mwizi kataa nikupate leo
 
Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana na kwa kweli walikuwa wachapa kazi watu wa kusaka chapaa sana, pasipo kuchoka, watu wenye haiba fulani na ucha Mungu wa kuzugia.

Sifa zao ni nyingi sana laaaaula haya niliyoyasikia baada ya kufika mkoani mwao ni aibu. Nianze na Ili kubwa jipya!

Nimeamka zangu kidume nikasogea maeneo ya Himo pale kwenye kabenki ka NMB Mzee kuchukua kabalance ka kununua mtori, baada ya kupata fedha navuka upande wa pili Ili nipande SHATO kwenda Town naambiwa hapa hakuna stendi, yaani gari hazismami hapo siku hizi nikauliza tatizo nini?

Jibu nililopewa nilitamani ardhi ipasuke inimeze niachane na hii Dunia iliyojaa ufedhuri.

Naambiwa heti kuna kijana alikuwa anapiga debe mahala pale alilawitiwa na kisha baada ya kufanyiwa hivyo waliomfanyia unyama ule wakaamua kumtoboa toboa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwemo tumboni machoni na kwingine aise na huyo kijana yupo hoi hosptali.

Ghafla nilijihisi mwenye mikosi maana tangu nimeingia mkoani humu nasikia matukio ya ajabu ajabu tu
mara Padri alawiti watoto, Marangu kijana auawa mara kijana alawitiwa hivi ni Pepo gani linawakumba ndugu zetu wachaga?Hivi kweli mmekengeuka kiasi hiki?

Juzi nikiwa naenda zangu town kutoka hapo barabara ya Kilema Askari wa magendo barabarani walismamisha hiace niliyokuwa nimeipanda, ghafla wakamdaka jamaa akiwa amebeba mirungi ubavuni mwangu nikajihisi ni mwenye mikosi walahi nitaondoka mkoani hapa ni historia mbaya siku nikishuka MADARAKA makubwa kama ya Magufuli nitawashughulikia vilivyo.

Huu ujinga mnahitaji kutandikwa bakora kila mchaga popote alipo mnaiaibisha nchi.
Iwapo hawajakusachi mifukoni basi naona kama ustaarabu umejaa huku kwetu.Achana na habari za matukio ya watu wengine ambayo hujayashuhudia.Mengi ni umbea tu.Mimi nikatisha kuingia msikitini pale karibu na stendi kwenye kilima kila siku na sijadhuriwa na yeyote.Kila anayeniona vipi Ami sheikh.?
 
Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana na kwa kweli walikuwa wachapa kazi watu wa kusaka chapaa sana, pasipo kuchoka, watu wenye haiba fulani na ucha Mungu wa kuzugia.

Sifa zao ni nyingi sana laaaaula haya niliyoyasikia baada ya kufika mkoani mwao ni aibu. Nianze na Ili kubwa jipya!

Nimeamka zangu kidume nikasogea maeneo ya Himo pale kwenye kabenki ka NMB Mzee kuchukua kabalance ka kununua mtori, baada ya kupata fedha navuka upande wa pili Ili nipande SHATO kwenda Town naambiwa hapa hakuna stendi, yaani gari hazismami hapo siku hizi nikauliza tatizo nini?

Jibu nililopewa nilitamani ardhi ipasuke inimeze niachane na hii Dunia iliyojaa ufedhuri.

Naambiwa heti kuna kijana alikuwa anapiga debe mahala pale alilawitiwa na kisha baada ya kufanyiwa hivyo waliomfanyia unyama ule wakaamua kumtoboa toboa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwemo tumboni machoni na kwingine aise na huyo kijana yupo hoi hosptali.

Ghafla nilijihisi mwenye mikosi maana tangu nimeingia mkoani humu nasikia matukio ya ajabu ajabu tu
mara Padri alawiti watoto, Marangu kijana auawa mara kijana alawitiwa hivi ni Pepo gani linawakumba ndugu zetu wachaga?Hivi kweli mmekengeuka kiasi hiki?

Juzi nikiwa naenda zangu town kutoka hapo barabara ya Kilema Askari wa magendo barabarani walismamisha hiace niliyokuwa nimeipanda, ghafla wakamdaka jamaa akiwa amebeba mirungi ubavuni mwangu nikajihisi ni mwenye mikosi walahi nitaondoka mkoani hapa ni historia mbaya siku nikishuka MADARAKA makubwa kama ya Magufuli nitawashughulikia vilivyo.

Huu ujinga mnahitaji kutandikwa bakora kila mchaga popote alipo mnaiaibisha nchi.
Acha kuwasagia kunguni wateule wa Bwana🤣
 
Back
Top Bottom