sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
- Thread starter
- #21
Kaka kumbe una ushahidi lisaidie jeshi la polisiWaliofanya hivyo siyo wachaga bali wageni kutoka mikoa mengine hasa pwani na kusini huko.
Cc adriz Accumen Mo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kumbe una ushahidi lisaidie jeshi la polisiWaliofanya hivyo siyo wachaga bali wageni kutoka mikoa mengine hasa pwani na kusini huko.
Cc adriz Accumen Mo
Acha ungexe wewe,yani wewe umeona wachaga ndo wenye hayo matukio???kila kona sasa hivi matukio hayo yanatokea,alafu wewe muoga sana kama huwezi kuishi kwa wagumu nenda kwenu kwa wapaka poda dar,
😅😅😅😅wachaga haoWaliofanya hivyo siyo wachaga bali wageni kutoka mikoa mengine hasa pwani na kusini huko.
Cc adriz Accumen Mo
Wakukamata huyo!!Kaka kumbe una ushahidi lisaidie jeshi la polisi
😅😅😅Acha ungexe wewe,yani wewe umeona wachaga ndo wenye hayo matukio???kila kona sasa hivi matukio hayo yanatokea,alafu wewe muoga sana kama huwezi kuishi kwa wagumu nenda kwenu kwa wapaka poda dar,
Rombo kunani bwa shee. Mengeleni kumetokea nini?Kunywa pombe lala mtaroni wakutupie mayai....
Shida ni kukua kwa miji hivyo kuzaliwa kwa tabia na maadili tofauti tofauti....
Nenda Rombo sasa[emoji28][emoji28][emoji24][emoji24][emoji24]
Hayo ni matukio ambayo yako kila sehemu na siyo Kilimanjaro tu.
Acha kuwasagia kunguni wateule wa Bwana[emoji1787]
Mleta mada mngexe xNaIna maana kilimanjaro wanaishi wachaga peke yao? Jitafakari mkuu.
Unashangaaa ulawiti Leo? Huo unyama ni sehem ya adhabu zitolewazo kwa watu wanao esabika kutendea wenzao makosa .Kwa tuliokulia mikoa mingine mkoa wa Kilimanjaro tulikuwa tukiusikia Kwa redio na kuhisi ni Ulaya ndogo, hata wenyeji wa Mkoa huo tulipokutana nao jijini Dsm tuliona ni watu waliostaarabika sana na kwa kweli walikuwa wachapa kazi watu wa kusaka chapaa sana, pasipo kuchoka, watu wenye haiba fulani na ucha Mungu wa kuzugia.
Sifa zao ni nyingi sana laaaaula haya niliyoyasikia baada ya kufika mkoani mwao ni aibu. Nianze na Ili kubwa jipya!
Nimeamka zangu kidume nikasogea maeneo ya Himo pale kwenye kabenki ka NMB Mzee kuchukua kabalance ka kununua mtori, baada ya kupata fedha navuka upande wa pili Ili nipande SHATO kwenda Town naambiwa hapa hakuna stendi, yaani gari hazismami hapo siku hizi nikauliza tatizo nini?
Jibu nililopewa nilitamani ardhi ipasuke inimeze niachane na hii Dunia iliyojaa ufedhuri.
Naambiwa heti kuna kijana alikuwa anapiga debe mahala pale alilawitiwa na kisha baada ya kufanyiwa hivyo waliomfanyia unyama ule wakaamua kumtoboa toboa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwemo tumboni machoni na kwingine aise na huyo kijana yupo hoi hosptali.
Ghafla nilijihisi mwenye mikosi maana tangu nimeingia mkoani humu nasikia matukio ya ajabu ajabu tu
mara Padri alawiti watoto, Marangu kijana auawa mara kijana alawitiwa hivi ni Pepo gani linawakumba ndugu zetu wachaga?Hivi kweli mmekengeuka kiasi hiki?
Juzi nikiwa naenda zangu town kutoka hapo barabara ya Kilema Askari wa magendo barabarani walismamisha hiace niliyokuwa nimeipanda, ghafla wakamdaka jamaa akiwa amebeba mirungi ubavuni mwangu nikajihisi ni mwenye mikosi walahi nitaondoka mkoani hapa ni historia mbaya siku nikishuka MADARAKA makubwa kama ya Magufuli nitawashughulikia vilivyo.
Huu ujinga mnahitaji kutandikwa bakora kila mchaga popote alipo mnaiaibisha nchi.
Wanakula mafi mmndeni[emoji24][emoji28][emoji28]Rombo kunani bwa shee. Mengeleni kumetokea nini?
Mhhh masikitikoWanakula mafi mmndeni[emoji24][emoji28][emoji28]