Kilimanjaro Kobil Rally 5/3/2017

Kilimanjaro Kobil Rally 5/3/2017

Pukudu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
3,149
Reaction score
2,232
Kwa wale wapenzi wa mashindano ya magari, kesho kuna mashindano ya magari Kilimanjaro karibuni tutakuwa tunapeana updates humu
FB_IMG_1488629310639.jpeg
FB_IMG_1488629301874.jpeg
IMG-20170304-WA0116.jpeg
IMG-20170304-WA0115.jpeg
IMG-20170304-WA0114.jpeg
IMG-20170304-WA0113.jpeg
IMG-20170304-WA0112.jpeg
IMG-20170304-WA0111.jpeg
 
Babu Gerald Miller wa kwanza. ..jamil khan kashindwa kumaliza. ..Davis mosha kashindwa kumaliza
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Babu Gerald Miller wa kwanza. ..jamil khan kashindwa kumaliza. ..Davis mosha kashindwa kumaliza
Huyu mzee sasa kazidi apumzike awaachie vijana ... ngoja tusubiri ya Iringa kama ataongoza tena.. Naskia Huwel Kaagiza Ford Fiesta Proton anaweza mkalisha huyu mzee Iringa
 
Huyu mzee sasa kazidi apumzike awaachie vijana ... ngoja tusubiri ya Iringa kama ataongoza tena.. Naskia Huwel Kaagiza Ford Fiesta Proton anaweza mkalisha huyu mzee Iringa
Ahmed Huwel "chief Mkwawa" namuaminia

Ni Nouma huyu jamaa, ana U-turn za hatari
 
Ahmed Huwel "chief Mkwawa" namuaminia

Ni Nouma huyu jamaa, ana U-turn za hatari
Nafkiri pia kukaa nje ya mashindano kumemfanya asirudie ubora wake ... ila naamini rally ya Iringa atafanya vzur
 
Back
Top Bottom