Tetesi: Kilimanjaro kuzizima muda si mrefu

Tetesi: Kilimanjaro kuzizima muda si mrefu

choga mkuu

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2016
Posts
283
Reaction score
110
Muda si mrefu Mkoa wa kilimanjaro utakuwa kwenye vichwa vya habari kufuatia mkazi mmoja wa Mwanga kudaiwa kugundua dawa ya magonjwa manne makuu ambayo ni sugu duniani pote.Mzalendo huyo kwa sasa bado yupo katika hatua ya kuzichakata na kazizalisha dawa za magonjwa hayo sugu ili kuhakikisha zinakuwa nyingi na za kutosha.Kwa mujibu wa tetes zinazovuma ni kuwa tayari wagonjwa baadhi waliokuwa wamefikia hatua critical ya kuharisha kuelekea mautin wameshatumia na kupona kabsa.Vipmo vimeonesha hawana ugonjwa/magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua muda mrefu,.
 
Muda si mrefu Mkoa wa kilimanjaro utakuwa kwenye vichwa vya habari kufuatia mkazi mmoja wa Mwanga kudaiwa kugundua dawa ya magonjwa manne makuu ambayo ni sugu duniani pote.Mzalendo huyo kwa sasa bado yupo katika hatua ya kuzichakata na kazizalisha dawa za magonjwa hayo sugu ili kuhakikisha zinakuwa nyingi na za kutosha.Kwa mujibu wa tetes zinazovuma ni kuwa tayari wagonjwa baadhi waliokuwa wamefikia hatua critical ya kuharisha kuelekea mautin wameshatumia na kupona kabsa.Vipmo vimeonesha hawana ugonjwa/magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua muda mrefu,.

Msituharibia bioanuwai/ misitu yetu kwa ramli zenu na dawa za mitishamba.
 
Watu wa kaskazini baada ya kuona mmesahaulika kwa muda mrefu tangu enzi za Babu wa Loliondo sasa mnataka kuja na style mpya.
Sijui mtamuitaje huyo wa sasahivi Babu wa Kilimanjaro au?

Lazima jiwe aje kunywa dawa na torati itakua imetimia kwa style hiyo

kuanzia leo ieleweke kwamba "Tecno sio Simu"
 
Bab wa loliondo ndio alikuwa kiboko bana.
Alitufanya tukajua kumbe viongoz wetu wote ni wagonjwa.
Sema hakuweka waz wanaumwa nini
 
Ni Kama biko/3mzuka.kwamba akipata hela Tanzania imepata hela.hata Babu wa loliondo sioni mbaya wamenufaika watu wa NDANI ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilianza trick ya kikombe Arusha kama siyo Manyara mkaathiri mpaka bunge, naona mbinu zilezile zimehamishiwa chini kidogo lakini kanda ileile, miaka kadhaa baadaye mtasogea Tanga na mbinu mpya, viona mbali wamewajua tayari
 
Muda si mrefu Mkoa wa kilimanjaro utakuwa kwenye vichwa vya habari kufuatia mkazi mmoja wa Mwanga kudaiwa kugundua dawa ya magonjwa manne makuu ambayo ni sugu duniani pote.Mzalendo huyo kwa sasa bado yupo katika hatua ya kuzichakata na kazizalisha dawa za magonjwa hayo sugu ili kuhakikisha zinakuwa nyingi na za kutosha.Kwa mujibu wa tetes zinazovuma ni kuwa tayari wagonjwa baadhi waliokuwa wamefikia hatua critical ya kuharisha kuelekea mautin wameshatumia na kupona kabsa.Vipmo vimeonesha hawana ugonjwa/magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua muda mrefu,.

We ni mgonjwa mmojawapo vinginevyo hii habari tupe chanzo chake.
 
Inamaana watanzania wameshasahau ya babu wa loliondo!? Au ndio mpango mkakati wa jiwe kutaka kufunika kombe mwanaharam apite!?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda si mrefu Mkoa wa kilimanjaro utakuwa kwenye vichwa vya habari kufuatia mkazi mmoja wa Mwanga kudaiwa kugundua dawa ya magonjwa manne makuu ambayo ni sugu duniani pote.Mzalendo huyo kwa sasa bado yupo katika hatua ya kuzichakata na kazizalisha dawa za magonjwa hayo sugu ili kuhakikisha zinakuwa nyingi na za kutosha.Kwa mujibu wa tetes zinazovuma ni kuwa tayari wagonjwa baadhi waliokuwa wamefikia hatua critical ya kuharisha kuelekea mautin wameshatumia na kupona kabsa.Vipmo vimeonesha hawana ugonjwa/magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua muda mrefu,.
Kuharisha ni ishara ya magonjwa tofauti tofauti weka wazi ni ugonjwa gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Bwashee unatafuta pesa za Krismas tu,hakuna kingine.
Huenda aka mualika mkulu naye aje apate ajaribu tiba kama alivyokwenda kwa babu wa Loliondo miaka ile!!
 
Back
Top Bottom