Tetesi: Kilimanjaro kuzizima muda si mrefu

Tetesi: Kilimanjaro kuzizima muda si mrefu

Mambo mazuri hufanywa kwa siri, hivi mnavyomtangaza mnatengeneza mazingira ya yeye kutofanikisha lengo.

Kitu kizuri huandaliwa kimya kimya na sio kwa kutangazwa JF.
 
Muda si mrefu Mkoa wa kilimanjaro utakuwa kwenye vichwa vya habari kufuatia mkazi mmoja wa Mwanga kudaiwa kugundua dawa ya magonjwa manne makuu ambayo ni sugu duniani pote.Mzalendo huyo kwa sasa bado yupo katika hatua ya kuzichakata na kazizalisha dawa za magonjwa hayo sugu ili kuhakikisha zinakuwa nyingi na za kutosha.Kwa mujibu wa tetes zinazovuma ni kuwa tayari wagonjwa baadhi waliokuwa wamefikia hatua critical ya kuharisha kuelekea mautin wameshatumia na kupona kabsa.Vipmo vimeonesha hawana ugonjwa/magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua muda mrefu,.

Rubbish
 
Muda si mrefu Mkoa wa kilimanjaro utakuwa kwenye vichwa vya habari kufuatia mkazi mmoja wa Mwanga kudaiwa kugundua dawa ya magonjwa manne makuu ambayo ni sugu duniani pote.Mzalendo huyo kwa sasa bado yupo katika hatua ya kuzichakata na kazizalisha dawa za magonjwa hayo sugu ili kuhakikisha zinakuwa nyingi na za kutosha.Kwa mujibu wa tetes zinazovuma ni kuwa tayari wagonjwa baadhi waliokuwa wamefikia hatua critical ya kuharisha kuelekea mautin wameshatumia na kupona kabsa.Vipmo vimeonesha hawana ugonjwa/magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua muda mrefu,.
Soon mzee wa chato ataunga tela kupata kikombe maana yule jamaa kwa magonjwa hajambo
 
Muda si mrefu Mkoa wa kilimanjaro utakuwa kwenye vichwa vya habari kufuatia mkazi mmoja wa Mwanga kudaiwa kugundua dawa ya magonjwa manne makuu ambayo ni sugu duniani pote.Mzalendo huyo kwa sasa bado yupo katika hatua ya kuzichakata na kazizalisha dawa za magonjwa hayo sugu ili kuhakikisha zinakuwa nyingi na za kutosha.Kwa mujibu wa tetes zinazovuma ni kuwa tayari wagonjwa baadhi waliokuwa wamefikia hatua critical ya kuharisha kuelekea mautin wameshatumia na kupona kabsa.Vipmo vimeonesha hawana ugonjwa/magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua muda mrefu,.
Ni wale wanaougua njaa?
 
habari ambazo siyo rasmi zinaeleza yeye dawa yake atatoa kwa kutumia kibakuli
 
BIASHARA MATANGAZO HAYA UMEKUJA NA MBINU MPYA KILA LAHERI NAJUA UTAWAPATA KWA MAELFU HASWA NA KWA HALI HII YA MSONGO WA MAWAZO NA UKOSEFU WA DAWA VITUONI LAZIMA TUKOMESHE FIGO
 
Back
Top Bottom