D___________Loy
Senior Member
- Jan 21, 2020
- 168
- 146
Strees za Kodi ya Maji hewa zinazotolewa kwa wateja. Over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia, nilivumilia ikawa too muchMimi personally ni sio muongeaji na sipendi kuingilia mambo ya watu. Huwaga sina maneno salamu tu napita zangu mbele. Sijawahi kumuambia chochote.
hali si haliJeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linamshikilia mwanamke mwenye miaka 27, Mkazi wa Kibosho Kirima Juu, Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua mwanae mwenye umri wa miaka mitatu na miezi sita kwa kumchapa na fimbo.
Akithibitisha hilo mbele ya waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro, ACP Simon Maigwa amesema tukio hilo limetokea Jumapili Julai 31, 2022 majira ya saa moja asubuhi.
Kamanda Maigwa amesema Mama huyo alimchapa na fimbo mwanae katika sehemu mbalimbali za mwili wake huku chanzo kikidaiwa kuwa mtoto huyo alifungulia bomba na kuchezea maji ya baridi yaliyokuwa yakitiririka.
" Baada ya kuona hali ya mwanae imezidi kuwa mbaya mama huyo alijaribu kutoroka ila wananchi walimdhibiti na Jeshi la Polisi tulifanikiwa kumchukia kwa taratibu za kisheria" Amesema Kamanda Maigwa.
Aidha Kamanda Maigwa ametoa wito kwa wazazi kutumia busara katika kuwaadhibu watoto wao pale wanapofanya kosa na sio kuchukua hatua kali hali inayopelekea kuhatarisha maisha.
"Kitendo cha kuchapa sio suluhisho kumfanya mtoto awe mtiifu, wazazi tumieni njia za busara, huyu mtoto alikuwa na miaka mitatu na miezi sita bado ni malaika haelewi chochote," amesisitiza Kamanda Maigwa.
Chanzo: Langola
Nilishagombana na dada mmoja vibaya mno kwa ajili hiyo, mtoto mdogo anapigwa kwa makosa madogo kisha akilia anapigwa tena, nikamtamkia kama mtoto amemshinda ampeleke vituo vya yatima tu.. alikuwa na stress za kuzalishwa na kuachwa pia
Kumchapa mtoto sehemu mbalimbali za mwili unasema hakuwa na dhamira ya kuua?Inasikitisha sana
Ila pia mazingira hayaoneshi kama kulikuwa na dhamira ya kuua.
malezi ya singo parent yanashida siku zote, full stre
nonesensemalezi ya singo parent yanashida siku zote, full stress.
Ndugu stress za maishaaaInasikitisha, angemkaripia tu ambadilishe nguo ona sasa kauwa