Kilimanjaro: Mama adaiwa kumuua mwanae wa miaka mitatu kwa kumchapa fimbo

hali si hali
 
Watu wengi wanazaa bila kupanga au kuwa tayari na haya ndio matokeo yake.
Inasikitisha sana.
Nilishagombana na dada mmoja vibaya mno kwa ajili hiyo, mtoto mdogo anapigwa kwa makosa madogo kisha akilia anapigwa tena, nikamtamkia kama mtoto amemshinda ampeleke vituo vya yatima tu.. alikuwa na stress za kuzalishwa na kuachwa pia
 
Inasikitisha sana

Ila pia mazingira hayaoneshi kama kulikuwa na dhamira ya kuua.
Kumchapa mtoto sehemu mbalimbali za mwili unasema hakuwa na dhamira ya kuua?

Ngoja tuletewe huyo mama huku kwenye mkono wa sheria tumnyooshe pumbav zake.

Mtoto asiye na hatia anakufa kisa kuchezea maji tu? Haiwezekani.
 
malezi ya singo parent yanashida siku zote, full stress.
 
Hata walimu wanawabutua wanafunzi watoto wa watu ile mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…