Kwa jinsi huyo mkurugenzi alivyojibu akiwa anajiamini naamini hata huyo mkurugenzi mwenyewe wala hata hajui tofauti kati ya mhandisi kilimo na mhandisi ujenzi. Kwa huyo mkurugenzi ili mradi wote wawili mwishoni kwenye "title" zao kuna neno engineer basi akajionea tu wapo sawa ampe kazi mhandisi kilimo kusimamia ujenzi wa majengo..