Kilimanjaro: Mvua yakata mawasiliano barabara ya Kizangaze

Kilimanjaro: Mvua yakata mawasiliano barabara ya Kizangaze

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mawasiliano ya Barabara ya Kizangaze yanayounganisha kata za Maore, Ndungu, Kihuruo na Bendera wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, yamekatika kwa muda baada ya kingo za Daraja la Kizangaze kuvunjwa na mafuriko.

Daraja hilo limeharibiwa na mvua zilizonyesha usiku wa Desemba 20, 2024.

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kilimanjaro, ikiongozwa na mkuu wa mkoa huo, Nurdin Babu ipo eneo la tukio ikiendelea na jitihada za kurejesha mawasiliano.

Screenshot 2024-12-24 145140.png
 
poleni wana kilimanjaro ila sidhani kama serikali yenu sikivu kama ina hata fungu la dharura kwa ajili ya maafa
 
Back
Top Bottom