Kilimanjaro na Arusha mikoa iliyobarikiwa vipaji vya kila aina

unaeleweka sana, ila watajifanya hawakuelewi

aim for the stars
 
okay, Naomba listi ya wasanii wa CHATO
 
Kwani wasukuma tulivyoshika hatamu awamu hii si wa mikoa yote ya ziwa?
 
Katika wote hao,hakuna aliye mfikia Kanumba(kutoka mwanza),Hakuna anaye mfikia Daimond(kwa pesa),hakuna anaye mfikia Harmonise,hakuna anayemfikia Mzee Majuto,Hakuna kama Masanja,Joti,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…