Kilimanjaro na Arusha mikoa iliyobarikiwa vipaji vya kila aina

Kilimanjaro na Arusha mikoa iliyobarikiwa vipaji vya kila aina

Mmmh kuhusu suala la burudani in general tunaanza na kigoma tofauti na hapo ni ubatili
Wanaweza wakawa hats mia mbili ila hawana vipaji,wanaforce.Ucheshi ni Moro,kuimba kigoma mbeya na mwanza na pwani(taarabu) mpira mbeya, kigoma pwani,songea.Wachaga biashara shule NATO huwa wanafirce hawana akili saana kama nshomile na sukuma.
 
mr nic $ barnaba boy a singers frm hom place nafurah kuwaona kwa list japo mmoja kabakia jina tu
 
Happynyerereday to everyone

Kilimanjaro na Arusha ni mikoa ambayo imebarikiwa vipaji vya Kila aina na watu ambao Wana ushawishi mkubwa sana katika nchi hii ya Tanzania

Mada hii itajikita zaidi katika katika music industry , Media na bongo movie industry (entertainment)

Producers
1) Master j
2) Dx
3) Nah reel
4) Chizan brain

Artists

Hip-hop
1) Joh makini
2) Nikki wa pili
3) Langa kileo
4) One the incredible
5) mabeste
6) bilnass
7) Rosa ree
8) King kapita ( It by proffesional)
9)salmin swag (OMG)
10)nay wa mitego
11) Mh temba
12) Lord eyez
13) g-nako
14) Bou nako
14) Stoper ryme
15) Dogo janja
16) Montra the future
17) Chin beez
18) jambo squad
19) jcb
20) chindoman
21) Chaba
22) Lard fire
23) Gentriez
24) Rafu mc
25) Ibra da hustler
26) Fido vatoloko
27) Roma
28) Dark master
29) Father neli ( X-plastaz)
30) Maujanja supply (Kulwa na dotto)

Singers
1) Mr nice
2) Barnaba boy classic
3) Vanessa mdee
4) Mimi Mars
5) Nandy
6) Haika (navykenzo)
7) Snura mushi (singeli)
8) Walter chilambo
9) Maua sama
10) Whozu
11) Rama dee
12) Wildad agripa

Bongo movies
1) Elizabeth michael (Lulu)
2) Irene uwoya
3) Irene Paul
4) Diana kimary
5)Sabrina rupia
6) Jackline wolper

Comedians
1) Katarina
2) Mr beneficial
3) Idris sultan
4) Kiwewe
5)Masawe mtata

Presenters
1)Milad-ayo
2) Sammisago
3)b-dozen
4) Adamchomvu
5) kenedy the remedy
6)jonijo
7) Ana Peter
8) Frida amani

DJ's
1) Dj summer
2) Dj mavufu
3) Dj d ommy

Video vixen
1) Cappuccino Tunda

Kilimanjaro na Arusha are best regions in this country katika entertainment Industry...

Happy nyerere day to everyone.....halla .....
Katika hawa wote tutajie aliefanya kitu kikubwa ambacho nchi inajivunia tofauti na hao ambao sio wa kaskazini ?
 
Basi simama kama nyie mpeleke show huko kwenu. Cha ajabu sioni wasanii hawa wakipeleka show Moshi sijui wakazi wa huku hawalipi viingilio.
 
Dhamira ya wimbo ule ni utalii tu wala sio ubinafsi , kuna watu ni wabinafsi kwa kikanda
Utalii gani pale? mashairi yalikuwa yanazungumizia wanajivunia kuzaliwa kigoma na kutaja watu maarufu waliozaliwa kigoma,na kuitukuza kigoma
 
Kigoma si ndio walianza kujikusanya na kujisifu hadi wakatoa wimbo? Au umesahau?
Hawakujisifu walitoa wimbo Mkuu na utaratibu huo upo tangu kitambo hata MBARAKA MWISHEHE aliwahi kuimba kuhusu MOROGORO nk...bt Uzi Wa huyo kunguru mtoa mada na baadhi ya reply zake utaona kuna kitu zaidi ya hicho alichoandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawakujisifu walitoa wimbo Mkuu na utaratibu huo upo tangu kitambo hata MBARAKA MWISHEHE aliwahi kuimba kuhusu MOROGORO nk...bt Uzi Wa huyo kunguru mtoa mada na baadhi ya reply zake utaona kuna kitu zaidi ya hicho alichoandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maudhui ya ule wimbo na hii thread yapo sawa tu..Wimbo unataja na kujivuna kuwa Kigoma ina wasanii, wana michezo, warembo, wanasiasa nguli na ndivyo thread inasema pia
 
Happynyerereday to everyone

Kilimanjaro na Arusha ni mikoa ambayo imebarikiwa vipaji vya Kila aina na watu ambao Wana ushawishi mkubwa sana katika nchi hii ya Tanzania

Mada hii itajikita zaidi katika katika music industry , Media na bongo movie industry (entertainment)

Producers
1) Master j
2) Dx
3) Nah reel
4) Chizan brain

Artists

Hip-hop
1) Joh makini
2) Nikki wa pili
3) Langa kileo
4) One the incredible
5) mabeste
6) bilnass
7) Rosa ree
8) King kapita ( It by proffesional)
9)salmin swag (OMG)
10)nay wa mitego
11) Mh temba
12) Lord eyez
13) g-nako
14) Bou nako
14) Stoper ryme
15) Dogo janja
16) Montra the future
17) Chin beez
18) jambo squad
19) jcb
20) chindoman
21) Chaba
22) Lard fire
23) Gentriez
24) Rafu mc
25) Ibra da hustler
26) Fido vatoloko
27) Roma
28) Dark master
29) Father neli ( X-plastaz)
30) Maujanja supply (Kulwa na dotto)

Singers
1) Mr nice
2) Barnaba boy classic
3) Vanessa mdee
4) Mimi Mars
5) Nandy
6) Haika (navykenzo)
7) Snura mushi (singeli)
8) Walter chilambo
9) Maua sama
10) Whozu
11) Rama dee
12) Wildad agripa

Bongo movies
1) Elizabeth michael (Lulu)
2) Irene uwoya
3) Irene Paul
4) Diana kimary
5)Sabrina rupia
6) Jackline wolper

Comedians
1) Katarina
2) Mr beneficial
3) Idris sultan
4) Kiwewe
5)Masawe mtata

Presenters
1)Milad-ayo
2) Sammisago
3)b-dozen
4) Adamchomvu
5) kenedy the remedy
6)jonijo
7) Ana Peter
8) Frida amani

DJ's
1) Dj summer
2) Dj mavufu
3) Dj d ommy

Video vixen
1) Cappuccino Tunda

Kilimanjaro na Arusha are best regions in this country katika entertainment Industry...

Happy nyerere day to everyone.....halla .....
19
30
 
Utalii gani pale? mashairi yalikuwa yanazungumizia wanajivunia kuzaliwa kigoma na kutaja watu maarufu waliozaliwa kigoma,na kuitukuza kigoma
Nitajie neno moja tu la kibaguzi katika mashairi yale , toka lini kusema umezaliwa Kigoma.likawa neno la kibinafsi ? Narudia tena kuna watu wana ubaguzi wa kikanda hilo alipingiki hakuna haja ya kutoa mifano
 
Nitajie neno moja tu la kibaguzi katika mashairi yale , toka lini kusema umezaliwa Kigoma.likawa neno la kibinafsi ? Narudia tena kuna watu wana ubaguzi wa kikanda hilo alipingiki hakuna haja ya kutoa mifano
Mzee kwani kwenye thread kuna neno gani la kibaguzi? Yeye pia kafagilia kuwa kwao kuna vipaji vingi, kama wimbo wa Kigoma ulivyo
 
Happynyerereday to everyone

Kilimanjaro na Arusha ni mikoa ambayo imebarikiwa vipaji vya Kila aina na watu ambao Wana ushawishi mkubwa sana katika nchi hii ya Tanzania

Mada hii itajikita zaidi katika katika music industry , Media na bongo movie industry (entertainment)

Producers
1) Master j
2) Dx
3) Nah reel
4) Chizan brain

Artists

Hip-hop
1) Joh makini
2) Nikki wa pili
3) Langa kileo
4) One the incredible
5) mabeste
6) bilnass
7) Rosa ree
8) King kapita ( It by proffesional)
9)salmin swag (OMG)
10)nay wa mitego
11) Mh temba
12) Lord eyez
13) g-nako
14) Bou nako
14) Stoper ryme
15) Dogo janja
16) Montra the future
17) Chin beez
18) jambo squad
19) jcb
20) chindoman
21) Chaba
22) Lard fire
23) Gentriez
24) Rafu mc
25) Ibra da hustler
26) Fido vatoloko
27) Roma
28) Dark master
29) Father neli ( X-plastaz)
30) Maujanja supply (Kulwa na dotto)

Singers
1) Mr nice
2) Barnaba boy classic
3) Vanessa mdee
4) Mimi Mars
5) Nandy
6) Haika (navykenzo)
7) Snura mushi (singeli)
8) Walter chilambo
9) Maua sama
10) Whozu
11) Rama dee
12) Wildad agripa

Bongo movies
1) Elizabeth michael (Lulu)
2) Irene uwoya
3) Irene Paul
4) Diana kimary
5)Sabrina rupia
6) Jackline wolper

Comedians
1) Katarina
2) Mr beneficial
3) Idris sultan
4) Kiwewe
5)Masawe mtata

Presenters
1)Milad-ayo
2) Sammisago
3)b-dozen
4) Adamchomvu
5) kenedy the remedy
6)jonijo
7) Ana Peter
8) Frida amani

DJ's
1) Dj summer
2) Dj mavufu
3) Dj d ommy

Video vixen
1) Cappuccino Tunda

Kilimanjaro na Arusha are best regions in this country katika entertainment Industry...

Happy nyerere day to everyone.....halla .....
SOCCER???
 
Mzee kwani kwenye thread kuna neno gani la kibaguzi? Yeye pia kafagilia kuwa kwao kuna vipaji vingi, kama wimbo wa Kigoma ulivyo
Nafikiri kumbe ujaelewa kuna mdau alikuwa anajibiwa comment yake sio mtoa thread
 
Back
Top Bottom