Kilimanjaro: Precision air PW417 imepaa na kurudi Uwanjani baada ya kutokea tatizo la Injini

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Leo mida ya saa nane na dakika hamsini, ndege ya Precision air yalazimika kurudi before take off Baada ya kugunduaaa hitilafu kwenye ndege!

Shukurani kwa Rubani alogundua tatizo mapema. Sasa inasubiriwa marekebisho yaishe ili ipae tena.

Ndege ilikuwa inatokea Mwanza kwenda Dar es Salaam kupitia Arusha.
 
Dah! Poleni sana wasafiri wa ndege. Sisi tunaopanda Shambalai Bus Service miaka nenda, tunaona nyota tu hapo.
 
Mbona kichwa cha mbuzi miguu ya kuku! Rekebisha Post iende sawa.
 
Niliwahi kusema hili shirika litamalizia watu angani.
Hizi ndege ni Za miaka ya 70 zimechoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…