Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira amesema kuna mgonjwa mwenye dalili za maambukizi ya virusi vya corona ambaye amelazwa kwenye wodi maalumu katika hospitali ya Mawenzi mjini Moshi na tayari sampuli zake zimechukuliwa kwa uchunguzi zaidi.
Mama Mghwira amesema Mgonjwa huyo ni raia wa Sweden aliyeolewa na Mtanzania na alisafiri kwenda kwao likizo na wakati anarudi alipotia Marekani kwa siku 14
Haijajulikana ameambikizwa akiwa wapi kama ni Marekani au ni Sweden lakini aligundulika alipofika katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)
Mama Mghwira amesema Mgonjwa huyo ni raia wa Sweden aliyeolewa na Mtanzania na alisafiri kwenda kwao likizo na wakati anarudi alipotia Marekani kwa siku 14
Haijajulikana ameambikizwa akiwa wapi kama ni Marekani au ni Sweden lakini aligundulika alipofika katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)