Kilimanjaro Stars 1 - 0 Malawi (CECAFA 2011)

Wachezaji wa Bongo wanavyo jua kushangilia hata barcelona hawaoni ndani. Goli moja utafikili wamefunga magoli kumi. hilo goli moja linawafanya wavimbe vichwa mala kipa apoteze mda na kujifanya haokoti mpira hadi adui akifika ndo anajifanya kuuokota. huwa wananiudhi kwa tabia zao
 
mpira bongo haulipi,majungu kibao,watu wanaelewa kabisaa kuwa watakuwa wenyeji wa mashindano then wanaandaa timu wiki mbili kabla mnategemea nini hapo?

Heri yangu niliamua kuacha mpira nikaenda kujisomea engineering yangu,nilikuwa na timu yangu ya SMALL NATIONAL na MJI YA MPWAPWA,nakumbuka nilikuwa na kijana pawasa pale dodoma ,Tulikuwa tunawakimbiza sana ktk michezo ya umiseta
 
nazungumzia akiwa timu ya shule na baadae AFC ya Arusha..
Basi kama ni hivyo kumbe dogo anacheza namba kibao uwanjani, maana alivyokuwa Simba alicheza tatu, kwenda Yanga akawa anacheza sita au nane, timu ya Taifa mara nyingi anacheza saba.
 
Mkwasa ilibidi aingize kiungo mkabaji na sio mshambuliaji.
 
Naona dakika zimebaki za mwamuzi tunaweza shinda hii mechi japo sisi ni best looser
 
Mkwasa ilibidi aingize kiungo mkabaji na sio mshambuliaji.
Shaban nditi anafaa sana....kiungo mzuri sana yule.....game kwisha..leo wachezaji kil stars lazima wakutwe na mizigo chumbani mwao
 
Hongera Kilimanjaro stars, hongera wazalendo wote wa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…