Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bara ni TanganyikaYani bara katika siku tuliyozalilishwa ni leo
Safi sana sisi wazanzibar si watu wakimchezo chezo
Watanganyika hamtuwez kwa vyovyote bado kwenye bikira zetu 72 ambazo tumeandaliwa
Mhhh kushindwa kubaya,kaka kubali kushindwa...huu waraka hautasaidia chochote,nakumbuka Maximo aliwahi kusema Zanzibar iko juu katika viwanja vya kuchezea watoto(maeneo ya wazi)
Mtoto anatakiwa umuwahi tangu mdogo kama unataka afanikiwe kwa chochote kile,ikiwa kimziki,kimichezo,kimasomo nk,Ninachokiona Tanganyika hasa hapa Daresalam viwanja vya wazi vyote vimejengwa ofisi za CCM sasa watoto watapata wapi kujifundisha kucheza mpira au michezo mingine...,aibu kubwa sana kuona watoto hawana sehemu za kucheza lakini tunakimbilia "Flyingover"
Tuanze kufikiri kivingine tutafanikiwa....
Kwanini mkuu,mbona huu ni mundelezo wa kukandamizwa,sio mara ya kwanza Zanzibar kuwaadhibu watanga na nyika katika kambumbuYani bara katika siku tuliyozalilishwa ni leo
Mbona kawaida Tanganyika(macho go) hufungwa na Zanzibar,hii ni laana yabkuendekeza mkoloni mweusi.Yani bara katika siku tuliyozalilishwa ni leo
Unawapa kuongoza wizara ihusuyo michezo watu wasema uongo na unategemea vitu reality kama michezo ushinde? Mwakyembe ana mbinu gani yule? Sasa kapewa na msaidizi hatari zaidi yake Juliana Shonza tutafika wapi sie? Huyu naibu badala ya kukaa na wataalamu wamsaidie kupata mbinu za kuinua michezo yeye muda wote yuko JF na ID fake kupambana na Chadema na kuwatukana Mbowe na Lowassa.Mbona kawaida Tanganyika(macho go) hufungwa na Zanzibar,hii ni laana yabkuendekeza mkoloni mweusi.