Kilimanjaro: Uduni wa maisha wapelekea wasichana kuozeshwa kwa sukari na majani ya chai

Kilimanjaro: Uduni wa maisha wapelekea wasichana kuozeshwa kwa sukari na majani ya chai

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Nimestaajabu sana kusikia taarifa hii kutoka katika mkoa ambao kila siku humu JF wanajinasibu kuwa ni mkoa wenye neema na tajiri.

Katika kipindi cha magazeti EFM nimesikia habari hii ya kufedhehesha kuwa wazee mkoani humo wamepigika hawana hata mia mbovu hivyo akijitokeza kijana mwenye sukari kilo moja na majani ya Tsh 200 anajipatia mke kabisa.
 
Kwa mkoa kilimanjaro ilo jambo hapana ni uongo simini kulivo kuzuri kiasi kile,kama ni kweli tungeanza kuona wadada wa kazi kwanza ngumu kupata dada wa kazi mchaga

Sent from my YAL using JamiiForums mobile app
Uongo vipi wakati kule Rombo ilikuwa wanalalamika wanaume hawaoi ni walevi sasa ulevi na umaskini ni marafiki.

Hadi kufikia kukodisha wanaume wa Kenya,kwa hali hii unadhani huko ukienda na laki si unaoa Kijiji kabisa?
 
Nimestaajabu sana kusikia taarifa hii kutoka katika mkoa ambao kila siku humu JF wanajinasibu kuwa ni mkoa wenye neema na tajiri.

Katika kipindi cha magazeti EFM nimesikia habari hii ya kufedhehesha kuwa wazee mkoani humo wamepigika hawana hata mia mbovu hivyo akijitokeza kijana mwenye sukari kilo moja na majani ya Tsh 200 anajipatia mke kabisa.
Chanzo cha habari ni EFM, sawa
 
Kwa mkoa kilimanjaro ilo jambo hapana ni uongo simini kulivo kuzuri kiasi kile,kama ni kweli tungeanza kuona wadada wa kazi kwanza ngumu kupata dada wa kazi mchaga

Sent from my YAL using JamiiForums mobile app
I see, Mimi si Mchaga lakini nakubaliana na wewe. Kipimo chako nakikubali kihalisia. Kipimo cha ugumu wa maisha kwa wasichana kinaanzia hapo.
 
Back
Top Bottom