Kilimanjaro: Wakulima wapata hasara mazao yakauka mashambani

Kilimanjaro: Wakulima wapata hasara mazao yakauka mashambani

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Katika hali isiyo ya kawaida wakulima mkoani Kilimanjaro wamepata hasara ya mazao yao baada ya Kukosekana kwa mvua za kutosha mwaka huu.

Wakulima hao wamesema wameingia hasara kutokana na gharama kubwa walizotumia katika manunuzi ya mbegu, mbolea nk. pamoja na utayarishaji wa mashamba yao.

Wengi wa wakulima hao hawajaambulia chochote mashambani. Kuna uwezekano mkubwa mwaka ujao kukawa na baa la njaa

IMG-20220616-WA0081.jpg
IMG-20220616-WA0081.jpg

Ni wakati sahihi sasa serikali ikafikiria namna ya kuwasaidia wakulima katika uwekazaji wa kilimo cha uwagiliaji ambacho kitakuwa kinalimwa kwa mwaka mzima mfululizo na sio aina hii ya kilimo kinachotegemea mvua ambapo mkulima hupata hasara pindi inapokosekana mvua ya kutosha kama ilivyo sasa.
 
Hali halisi ya mazao ya mashambani

mwaka huu
 
Katika hali isiyo ya kawaida wakulima mkoani Kilimanjaro wamepata hasara ya mazao yao baada ya Kukosekana kwa mvua za kutosha mwaka huu.

Wakulima hao wamesema wameingia hasara kutokana na gharama kubwa walizotumia katika manunuzi ya mbegu, mbolea nk. pamoja na utayarishaji wa mashamba yao.

Wengi wa wakulima hao hawajaambulia chochote mashambani. Kuna uwezekano mkubwa mwaka ujao kukawa na baa la njaa

View attachment 2263597View attachment 2263597
Ni wakati sahihi sasa serikali ikafikiria namna ya kuwasaidia wakulima katika uwekazaji wa kilimo cha uwagiliaji ambacho kitakuwa kinalimwa kwa mwaka mzima mfululizo na sio aina hii ya kilimo kinachotegemea mvua ambapo mkulima hupata hasara pindi inapokosekana mvua ya kutosha kama ilivyo sasa.
Harafu utawasikia wazee wa kitonga wanataka mipaka ifungwe ili wanunue kwa Bei ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom