DOKEZO Kilimanjaro; Walimu wadai kudhalilishwa na Afisa elimu kwa kuambiwa kuwa hata Mahari hawajawahi kumaliza. Kisa kudai haki yao

DOKEZO Kilimanjaro; Walimu wadai kudhalilishwa na Afisa elimu kwa kuambiwa kuwa hata Mahari hawajawahi kumaliza. Kisa kudai haki yao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Baadhi ya walimu wa shule ya msingi waliohamishwa katika shule mbali mbali katika wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamesikitishwa na kauli iliyotolewa na Afisa elimu wa wilaya hiyo kuwa hata mahari yenyewe hawajamalizaga kulipa kwa hiyo hata malipo yao watalipwa kidogo kidogo.

Walimu hao wamesikitishwa na kauli hiyo kutoka Afisa elimu huyo ambae ni mwanamke na kuona kuwa wamedhalilishwa na kufehedheshwa kwani maswala yao binafsi hayahusiani na madai ya haki zao ama ajira zao bali wanachohitaji ni stahiki zao za malipo ambapo hadi sasa wamelipwa robo ya malipo yao.

Walimu hao wanadai tangu wapate uhamisho mwezi wa pili mwaka 2024 hadi leo pesa waliyolipwa ni robo tu ya pesa wanazodai.
 
Baadhi ya walimu wa shule ya msingi waliohamishwa katika shule mbali mbali katika wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamesikitishwa na kauli iliyotolewa na Afisa elimu wa wilaya hiyo kuwa hata mahari yenyewe hawajamalizaga kulipa kwa hiyo hata malipo yao watalipwa kidogo kidogo.

Walimu hao wamesikitishwa na kauli hiyo kutoka Afisa elimu huyo ambae ni mwanamke na kuona kuwa wamedhalilishwa na kufehedheshwa kwani maswala yao binafsi hayahusiani na madai ya haki zao ama ajira zao bali wanachohitaji ni stahiki zao za malipo ambapo hadi sasa wamelipwa robo ya malipo yao.

Walimu hao wanadai tangu wapate uhamisho mwezi wa pili mwaka 2024 hadi leo pesa waliyolipwa ni robo tu ya pesa wanazodai.
Hamna sekita yenye watumishi bogus kama waalimu, wanatumikishwa ila hata kudai haki zao wanashindwa.
 
Huyo ofisa elimu hebu wamhamishie Wilaya ya Moshi, moshi vijijini, kule chini kata ya Arusha chini TPC kuna shule za vijiji vya huko walimu wake wana majibu yake. Hatakaa ajibu kama hayo tena
 
Baadhi ya walimu wa shule ya msingi waliohamishwa katika shule mbali mbali katika wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamesikitishwa na kauli iliyotolewa na Afisa elimu wa wilaya hiyo kuwa hata mahari yenyewe hawajamalizaga kulipa kwa hiyo hata malipo yao watalipwa kidogo kidogo.

Walimu hao wamesikitishwa na kauli hiyo kutoka Afisa elimu huyo ambae ni mwanamke na kuona kuwa wamedhalilishwa na kufehedheshwa kwani maswala yao binafsi hayahusiani na madai ya haki zao ama ajira zao bali wanachohitaji ni stahiki zao za malipo ambapo hadi sasa wamelipwa robo ya malipo yao.

Walimu hao wanadai tangu wapate uhamisho mwezi wa pili mwaka 2024 hadi leo pesa waliyolipwa ni robo tu ya pesa wanazodai.
Sidhani huo usemi una maana waliyoipata wao ijapo aliyeitoa anaweza kuwa maana zaidi ya tujuavyo. Sikubaliani na kuto kuwalipa watumishi stahiki zao kwa wakati lkn ALIMAANISHA KUWA WAWE NA SUBIRA NA WATAENDELEA KULIPWA KIDOGOKIDOGO kama unavyoweza kulipa mahari kwa kupeleka mbuzi wawili,mwakani ng'ombe,mwaka mwingine 50,000 na mbuzi wawili n.k huku mkiendelea kufyatua watoto.
 
Baadhi ya walimu wa shule ya msingi waliohamishwa katika shule mbali mbali katika wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamesikitishwa na kauli iliyotolewa na Afisa elimu wa wilaya hiyo kuwa hata mahari yenyewe hawajamalizaga kulipa kwa hiyo hata malipo yao watalipwa kidogo kidogo.

Walimu hao wamesikitishwa na kauli hiyo kutoka Afisa elimu huyo ambae ni mwanamke na kuona kuwa wamedhalilishwa na kufehedheshwa kwani maswala yao binafsi hayahusiani na madai ya haki zao ama ajira zao bali wanachohitaji ni stahiki zao za malipo ambapo hadi sasa wamelipwa robo ya malipo yao.

Walimu hao wanadai tangu wapate uhamisho mwezi wa pili mwaka 2024 hadi leo pesa waliyolipwa ni robo tu ya pesa wanazodai.
Maafisa elimu wote ni walimu. Huyo afisa elimu apuuzwe.
 
Back
Top Bottom