Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa
kinara wa kuboresha elimu ya msingi kwa kupata wastani wa asilimia 82
sawa na daraja A wakati mikoa ya singida na kigoma wakifanya
vibaya.Kilim kwa kufelisha zaidi ya asilimia 44 kwa mkoa wa singida na
asilimia 66 kwa mkoa wa kigoma.Kilimanjaro inafanya vizuri katika
mazingira yote ya kielimu ,mbali na ufaulu hali ya miundo mbinu pia ni
nzuri na mkoa umevuka viwango karibu vyote saba vya mazingira ya
kufundishia na kujifunza.
Chanzo : Uchambuzi wa Sera Haki elimu
Sio kwamba mikoa mingine haiwezekani! La hasha. Kuna jambo wanashindwa kulielewa. Nendeni kilimanjaro mkajifunze kutoka kwao. Hawategemei pesa ya serikali kujenga miundo mbinu ya shule. Wanajitolea wenyewe kifedha, nguvu kazi na kufadhiliana wenyewe kwa wenyewe. Wazazi wanasukumana na watoto wao kwenda shule. Waalimu wameyapenda mazingira ya kilimanjaro ambayo ni ya ukarim u. Kwa ujumla WANAJITUMA.
Waliing'amua ccm kuwa haitawafikisha popote wakaachana nayo.
kuhusu ccm c kweli
kwan mkoa wa kilimanjaro una majimbo nane ya uchaguz na ni majimbo 3 ndo
yako chn ya chadema! (upinzan) sasa. so maendeleo ye2 ni jitihada 2
binafc na c vyama vya siasa
Sio kwamba mikoa mingine haiwezekani! La hasha. Kuna jambo wanashindwa kulielewa. Nendeni kilimanjaro mkajifunze kutoka kwao. Hawategemei pesa ya serikali kujenga miundo mbinu ya shule. Wanajitolea wenyewe kifedha, nguvu kazi na kufadhiliana wenyewe kwa wenyewe. Wazazi wanasukumana na watoto wao kwenda shule. Waalimu wameyapenda mazingira ya kilimanjaro ambayo ni ya ukarim u. Kwa ujumla WANAJITUMA.
moshi mjini(chadema), moshi vijijin(ccm), rombo(chadema), same(ccm), vunjo(TLP), hai (chadema), siha(ccm)
Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa kinara wa kuboresha elimu ya msingi kwa kupata wastani wa asilimia 82 sawa na daraja A wakati mikoa ya singida na kigoma wakifanya vibaya.Kilim kwa kufelisha zaidi ya asilimia 44 kwa mkoa wa singida na asilimia 66 kwa mkoa wa kigoma.Kilimanjaro inafanya vizuri katika mazingira yote ya kielimu ,mbali na ufaulu hali ya miundo mbinu pia ni nzuri na mkoa umevuka viwango karibu vyote saba vya mazingira ya kufundishia na kujifunza.
Chanzo : Uchambuzi wa Sera Haki elimu