Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa kinara wa kuboresha elimu ya msingi kwa kupata wastani wa asilimia 82 sawa na daraja A wakati mikoa ya singida na kigoma wakifanya vibaya.Kilim kwa kufelisha zaidi ya asilimia 44 kwa mkoa wa singida na asilimia 66 kwa mkoa wa kigoma.Kilimanjaro inafanya vizuri katika mazingira yote ya kielimu ,mbali na ufaulu hali ya miundo mbinu pia ni nzuri na mkoa umevuka viwango karibu vyote saba vya mazingira ya kufundishia na kujifunza.
Chanzo : Uchambuzi wa Sera Haki elimu
Chanzo : Uchambuzi wa Sera Haki elimu