Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Unafurahisha sana ww jamaa kwahiyo unaamini mtaani Wana uwezo mzuri zaidi kuliko hospitali? Unajua huko mtaani wanatumia vifaa Gani kukatia kilimi? Unazijua risks za kukatwa kilimi mtaani?Mtu mwenye kilimi hukohoa sana, hukonda sana gani kilimi kinamaliza mwili atauweje utakonda sana
Kilimi kikiwa kirefu huwa kinatunga kikipasuka mtu anapoteza uhai
Si kila doctor anaweza kukata kilimi, tunaweza kukatwa hospital ukawa ndio mwisho wa maisha yako
Si kila tatizo hospital ndio suruhisho lake tuache hiyo kasumba,
Mitaani wapo watu maarufu wakiofanya hiyo kazi ya kukata kilimi bila tatizo
Ushauri ukiwa na kilimi tafuta wataamu wa mtaani ukatwe usikimbilie hospital
Jitafakar aisee.