Kilimi kuwa kirefu na tiba yake

Unafurahisha sana ww jamaa kwahiyo unaamini mtaani Wana uwezo mzuri zaidi kuliko hospitali? Unajua huko mtaani wanatumia vifaa Gani kukatia kilimi? Unazijua risks za kukatwa kilimi mtaani?

Jitafakar aisee.
 
Ushauri mzur sana mkuu nami namsihi mtoa mada achukue huu ushauri na aufanyie kazi akijifanya kuwasikiliza hawa mabush Dr wa jf kuhusu sijui kukatwa kilimi atakuja kuleta tena Uzi humu wa kujutia.
 
Nifuate inbox nikupe msaada wa kumtibu, nami niliwahi kusumbuliwa na tatzo hili nikatibiwa.
Tiba naifahamu.
Hili ni jukwaa la watu wengi. Ni vizuri ukifahamu suluhisho la matatizo useme kusaidia wengi.
Vinginevyo ungemfuata inbox!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…