Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hello JF,
Katika threads zangu za nyuma,niliuliza mtu aliyeishia standard seven ama form four anaweza kufanya shughuli gani ya kipato
Jibu ambalo lilikua common ni Kilimo na kazi za vibarua….
Sijajua status ya Viwanda viko vingapi ..na walio tayari kufanya kazi hizi ni wangapi…pia Kilimo status yake
However ,
nimefikiria hili kundi la wanaofeli la saba na form four ni kubwa sana,wazazi wengi hawawezi ku afford shule private...
Na pia japo Elimu ni bure,bado kuna kundi kubwa ambao hawana elimu….
Ukumbuke hawa ni VIJANA (18-24)...tunapoteza nguvu zao ..
Nguvu ambazo zingekua invested zingetuletea matokeo chanya…
Ningependa kuishauri serikali yetu kuandaa initiatives/incetives za kilimo zinazo target this specific group..
Assume umempatia elimu kuhusu kilimo au na pia kumsaidia shamba huyu kijana...
Kwa kipindi cha miaka kumi (10) atakua amefikisha miaka 28-34,probably kaajiri watu kadhaa kwenye shamba lake...Sio tu ameongeza uzalishaji na kupunguza u dependency bali pia kuwa na CONFIDENCE ..as watu wengi kwenye kwenye 30's hawana furaha na kujiamini..ndio muda wengi wanaanza kujilaumu labda amefanya wrong career choice.
nimeweka Klimo kama solution,as nimeona mahali Kilimo kinacontribute to GDP 28.3% na hapo we haven't utilize our arable land properly(only 33 percent of 44 millions hectares is used)....
Tusiwaige nchi zilizoendelea walivyojikomboa kiuchumi,
Lets use what we have to go to the next level...
Kama wao wanatumia Tecnology sisi tutatumia Kilimo...
AU vipi????😁😁😁
Nakaribisha maoni
.
Katika threads zangu za nyuma,niliuliza mtu aliyeishia standard seven ama form four anaweza kufanya shughuli gani ya kipato
Jibu ambalo lilikua common ni Kilimo na kazi za vibarua….
Sijajua status ya Viwanda viko vingapi ..na walio tayari kufanya kazi hizi ni wangapi…pia Kilimo status yake
However ,
nimefikiria hili kundi la wanaofeli la saba na form four ni kubwa sana,wazazi wengi hawawezi ku afford shule private...
Na pia japo Elimu ni bure,bado kuna kundi kubwa ambao hawana elimu….
Ukumbuke hawa ni VIJANA (18-24)...tunapoteza nguvu zao ..
Nguvu ambazo zingekua invested zingetuletea matokeo chanya…
Ningependa kuishauri serikali yetu kuandaa initiatives/incetives za kilimo zinazo target this specific group..
Assume umempatia elimu kuhusu kilimo au na pia kumsaidia shamba huyu kijana...
Kwa kipindi cha miaka kumi (10) atakua amefikisha miaka 28-34,probably kaajiri watu kadhaa kwenye shamba lake...Sio tu ameongeza uzalishaji na kupunguza u dependency bali pia kuwa na CONFIDENCE ..as watu wengi kwenye kwenye 30's hawana furaha na kujiamini..ndio muda wengi wanaanza kujilaumu labda amefanya wrong career choice.
nimeweka Klimo kama solution,as nimeona mahali Kilimo kinacontribute to GDP 28.3% na hapo we haven't utilize our arable land properly(only 33 percent of 44 millions hectares is used)....
Tusiwaige nchi zilizoendelea walivyojikomboa kiuchumi,
Lets use what we have to go to the next level...
Kama wao wanatumia Tecnology sisi tutatumia Kilimo...
AU vipi????😁😁😁
Nakaribisha maoni
.