Kilimo biashara pekee inayolipa 100%, kilimo awamu ya pili.

Vema sana Molembe... naomba ni pm namba yako nahtaji kujifunza zaidi kutoka kwako, ahsante.

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
Unakuwaga ka-pili kuchangia lakini huwaga huna point sijui kwa nini?
Ee sinaga point mkuu...We unategemea kila mahali ni pa kutoa point? Kwani kusema sawa mkuu wewe inaonekana imekuuma sana na wakati mtu ametoa ushauri nami nikamsapoti kwa kusema sawa...Hahaha anyways, tusipangiane cha kupost mkuu, hivyo tu mkuu..Asante
 
Ni kweli ninachokifanya mashamba yapo karibu na nyumbani, mama hunitafutia watu wa kufanya kazi wakimaliza huniambia niwalipe na huwa mara nyingi nawatumia kwenye simu zao.
Mkubwa hizo mbolea ni zile za kupandia tu na za kukuzia pia unaweka
 
Kabla hata ya uzi huu nimeona matunda ya kilimo kupitia wakulima kadhaa na kwa kweli msimu huu naingia kwenye risk.nauza gari langu moja na pesa hiyo naendea shambani maana mifano nimeshaiona kupitia kazi niliyowahi kufanya hapo nyuma ya kuingia vijijini,niliona wakulima wengi wakipata mazao na kuishi bila shida japo wao walikosa tu ile elimu ya watumieje kilimo kuwafanya waishi maisha ya raha,waliendelea kuishi ktk nyumba zisizo imara na zisizo na usafi zaidi ya kuongeza kununua mifugo tu.lakini kama unamshuhudia mkulima anavuna mahindi gunia mia tano mpaka mia6 maana huyu anacheza na milion 40 mpka 50 ktk mavuno yake,kitu ambacho kwa maisha ya mjini kwa wengi unaweza piga kwata miaka na miaka hujawahi kuiona hiyo milion 40 zaidi ya kuishia kukopa ofisini milion 10 na kununua Alteza.tutake tusitake tukitaka mali tutaipata shambani

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Very true.
 
At least huyu jamaa huko realistic sio wale WA gunia 30,by the way kilimo ni hesabu Kali na timing
 
Ni kweli kilimo kinalipa kama ukiamua kuweka mikakati na kujitoa pia tumia ubunifu siyo lazima kulima mazao ya msimu kama kuna sehemu ambayo maji yanapatikana kwaajili ya umwagiliaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nategemea kuanza kufanya kilimo cha umaagiliaji cha bustani na eneo langu ni heka moja tuu ila natarajia kuliweka katika kilimo cha custom garden ipo cku ntafanikiwa mungu akipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…