Kilimo bora chenye tija na maendeleo

Kilimo bora chenye tija na maendeleo

strong star

Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
36
Reaction score
42
Asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wote tunajishughulisha na kilimo ambacho ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu, Ikiwa hivi ndivyo mbona hatuna maendeleo kuanzia kwa mkulima, jamii, wala taifa kwa ujumla?'

Ni kwa sababu bado hatuna kilimo chenye tija na kutuletea maendeleo

Sasa tunaenda kuona kilimo chenye tija ni kipi amabacho kitaenda kutuletea maendeleo zaidi

Tambua aina ya ardhi unayotaka kuanzisha kilimo
Kwanza kabisa mkulima unapaswa kutambua aina ya ardhi alionayo ili kujua inafaa sana kwa kilimo gani, kwani kila aina ya zao unalotaka kulima linakuwa na kustawai vizuri katika aina furani ya ardhi, hivyo basi mkulima anapaswa kuchagua ardhi kulingana na kilimo anachotaka kuanzisha .

Tambua hali ya hewa katika shamba lako
Hakikisha mkulima unakuwa na tahalifa sahihi za misimu na hali ya hewa katika shamba lako hasa katika kipindi hiki cha mabadiliko ya tabia nchi na hali ya hewa, hii itasaidia kujiandaa vilivyo na mabadiliko yoyote ya hali ya hewa kwa wakati wowote na kuepusha hasara kubwa ya mazao yako.

Tafuta mbegu bora zenye mazao mengi na kuvumilia magonjwa

Mkulima unapaswa kutafuta mbegu bora zaidi na tuache kilimo cha mazoea cha kutumia mbegu za zamani, kwani misimu inabadilika na wadudu kugundua njia mpya ya kushambulia mazao yako, hivyo basi yatupasa kushilikisha wataalam na kutumia mbegu bora, zinazohimili magonjwa na kutoa mazao mengi.

Tafuta wakati unaofaa kupanda mbegu zako

Wakulima wengi tunakosea sana katika wakati ufaao kupanda mbegu kwani utumia mazoea na kujikuta tunapata hasala kubwa kwa sababu siku hizi kuna mabadiliko ya Tabia nchi na hali ya hewa kwa ujumla na kujikuta tunapata asala kubwa.

Chunguza kwa makini na kwa ukalibu zaidi maendeleo ya shamba lako

Mkulima unapaswa kuwa kalibu zaidi na shamba lako kwani hivyo usaidia kutunza na kulinda shamba pia kutambua wakati sahihi wa kuweka mbolea na vilitubishi mbalimbali ambavyo vitakuletea mazao bora na mengi zaidi mwisho kupata kilimo chenye tija na maendeleo.

Andaa mahali sahihi pa kuifadhia mazao yako

Mkulima unapaswa kuandaa mahali sahii (yaweza kuwa ghala au gulio), usafiri na pia vibarua watakao saidia kuvuna vizuri mazao yako na kuyafikisha nyumbani au sokoni salama zaidi, hii usaidia kuepuka mazao kukauka au kusahaulika shambani na kupunguza ubora yanapofika sokoni au kwa mtumiaji.

Tafuta soko lenye tija au wananuzi wa mazao yako

Ikiwa umeifadhi vizuri kabisa mazao yako itakuwa rahisi na itakupa mawanda mapana ya wewe kutafuta soko na wanunuzi watakao kupa bei nzuri ya mazao yako na kupata faida ya jasho lako na kunufaika na kilimo chako.

Hivyo basi, kwa njia na mbinu hizi. tutaweza kupata kilimo chenye tija na mandeleo kwa wakulima na kuondokana na janga la umasikini kupitia kilimo chetu.
 
Kutoka ki maisha kupitia kilimo ni ngumu sana chukulia Mfano kilimo cha mahindi, Pembejeo na gharama za uendeshaji hicho kilimo ziko juu, Mkulima anawekeza fedha, akili na muda wake lakini soko baadae linakua HOVYO. Inafikia gunia linanunuliwa kwa 25,000/. Hasara
 
Asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wote tunajishughulisha na kilimo ambacho ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu, Ikiwa hivi ndivyo mbona hatuna maendeleo kuanzia kwa mkulima, jamii, wala taifa kwa ujumla?'

Ni kwa sababu bado hatuna kilimo chenye tija na kutuletea maendeleo

Sasa tunaenda kuona kilimo chenye tija ni kipi amabacho kitaenda kutuletea maendeleo zaidi

Tambua aina ya ardhi unayotaka kuanzisha kilimo
Kwanza kabisa mkulima unapaswa kutambua aina ya ardhi alionayo ili kujua inafaa sana kwa kilimo gani, kwani kila aina ya zao unalotaka kulima linakuwa na kustawai vizuri katika aina furani ya ardhi, hivyo basi mkulima anapaswa kuchagua ardhi kulingana na kilimo anachotaka kuanzisha .

Tambua hali ya hewa katika shamba lako
Hakikisha mkulima unakuwa na tahalifa sahihi za misimu na hali ya hewa katika shamba lako hasa katika kipindi hiki cha mabadiliko ya tabia nchi na hali ya hewa, hii itasaidia kujiandaa vilivyo na mabadiliko yoyote ya hali ya hewa kwa wakati wowote na kuepusha hasara kubwa ya mazao yako.

Tafuta mbegu bora zenye mazao mengi na kuvumilia magonjwa

Mkulima unapaswa kutafuta mbegu bora zaidi na tuache kilimo cha mazoea cha kutumia mbegu za zamani, kwani misimu inabadilika na wadudu kugundua njia mpya ya kushambulia mazao yako, hivyo basi yatupasa kushilikisha wataalam na kutumia mbegu bora, zinazohimili magonjwa na kutoa mazao mengi.

Tafuta wakati unaofaa kupanda mbegu zako

Wakulima wengi tunakosea sana katika wakati ufaao kupanda mbegu kwani utumia mazoea na kujikuta tunapata hasala kubwa kwa sababu siku hizi kuna mabadiliko ya Tabia nchi na hali ya hewa kwa ujumla na kujikuta tunapata asala kubwa.

Chunguza kwa makini na kwa ukalibu zaidi maendeleo ya shamba lako

Mkulima unapaswa kuwa kalibu zaidi na shamba lako kwani hivyo usaidia kutunza na kulinda shamba pia kutambua wakati sahihi wa kuweka mbolea na vilitubishi mbalimbali ambavyo vitakuletea mazao bora na mengi zaidi mwisho kupata kilimo chenye tija na maendeleo.

Andaa mahali sahihi pa kuifadhia mazao yako

Mkulima unapaswa kuandaa mahali sahii (yaweza kuwa ghala au gulio), usafiri na pia vibarua watakao saidia kuvuna vizuri mazao yako na kuyafikisha nyumbani au sokoni salama zaidi, hii usaidia kuepuka mazao kukauka au kusahaulika shambani na kupunguza ubora yanapofika sokoni au kwa mtumiaji.

Tafuta soko lenye tija au wananuzi wa mazao yako

Ikiwa umeifadhi vizuri kabisa mazao yako itakuwa rahisi na itakupa mawanda mapana ya wewe kutafuta soko na wanunuzi watakao kupa bei nzuri ya mazao yako na kupata faida ya jasho lako na kunufaika na kilimo chako.

Hivyo basi, kwa njia na mbinu hizi. tutaweza kupata kilimo chenye tija na mandeleo kwa wakulima na kuondokana na janga la umasikini kupitia kilimo chetu.
Ni kweli, lakini ndio maana tunashauri mbinu bora zaidi kupambana na changamoto kama hizo ili kufikia malengo , Ikiwa umeandaa vizuri mazao yako na ubora unaofaa na wakimataifa zaidi hivyo itakupa mawanda mapana ya kuchaguwa wanunuzi watakao kuwa na bei nzuri zaidi kwani mazao yako ni bora na yanastahili . ahsante !
 
Back
Top Bottom