Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Uko sahihi mkuu,hivi hakuna jinsi ya kurifine mawese yawe kama korie
Sisi tunafeli wapi kugeuza mawese kuwa korie isiyo kereketaKorie ni mawese yaliyosafishwa. Njia ya asili ya kusafisha mawese ni kuyaunguza kwenye chungu cha moto hadi yatoe moshi wenyewe wanaita kambili yanakuwa meupe safi kabisa japo yanakereketa.
Siasa ni nyingi kuliko vitendo. Nchi hii tungekuwa makini kilimo pekee kinatosha kumaliza umaskini kama Serikali ingejipanga na kutekeleza majukumu yake.Sisi tunafeli wapi kugeuza mawese kuwa korie isiyo kereketa
Kabisa ni aibu kuagiza korie na sukari nje,mapori yamejaa chatuSiasa ni nyingi kuliko vitendo. Nchi hii tungekuwa makini kilimo pekee kinatosha kumaliza umaskini kama Serikali ingejipanga na kutekeleza majukumu yake.
We acha tu ndugu yangu. Serikali ingeamua hata kupitia Jeshi la Magereza kuwekeza kwenye hii sekta ya mafuta ya kula tungekuwa mbali sana.Kabisa ni aibu kuagiza korie na sukari nje,mapori yamejaa chatu
Njombe kwa alizeti itakuwa changamoto kwa sababu ili alizeti ifanye kazi vizuri unahitaji jua kwa kipindi kirefu.Kila sehemu ambayo mhindi unaweza kukua na alizeti inaweza kukua.
So Njombe, Mbeya, Makete, Tanga, na Tz nzima alizeti inaweza kukua.
Kama unataka kununua sijui kwa sehemu zingine ila kwa eneo letu bei yake hua ina tabia ya kupanda kadri muda unavyoenda tofauti na mahindi ambayo kama siyo kushuka basi bei yake hua flat mpaka inakutana na mavuno mengine.
Chikichi na ufuta sijui.
Ndugu yangu bei ya mafuta ya ufuta na karanga ni wachache Sana wanaweza kuimudu. Na pia kusema karanga zinaozea sokoni hilo nakukataliaMawese yamejaa tele TZ. Ila watu hawayapendi. Soko la mbeya buku unapata lita moja Kigoma lita hadi 700, tuliani,ifakara, kyela.
Hadi pwani chikichi inakubali.
Tabora katavi pote chikichi inakubali.
Chikichi ni tropical inaweza ikakubali TZ yote ila tu tunaishi kwa mazoea.
Mafuta sio shida ila Alizeti ndio shida, mawese bei poa sana na hayajawahi kupanda hadi lita 2000.
Nazi ipo tele,Pamba ipo tele karanga zipo tele zinaozea masokoni ila tunasema mafita shida.
Tuache kuaminishana kuws TZ mafuta shida ila mafuta ya alizeti ndio shida.
shida sio mafuta shida ni udumavu wa akili wa watanzania
Je pamba na samli ?Ndugu yangu bei ya mafuta ya ufuta na karanga ni wachache Sana wanaweza kuimudu. Na pia kusema karanga zinaozea sokoni hilo nakukatalia
Kwan hawanao zalisha mafuta kiwandani huwa wanachanganya na alizeti au mafuta ya aina gan ?Je pamba na samli ?
Mkuu karanga nyingi sana masokoni hazikamuliwi mafuta.
Sasa hivi kuna tetere nazo zinatoa mafuta, mahindi nayo yanatoa mafuta.
Je tuna uhaba wa mahindi. Sisi tunatatizo la matumizi ya akili tu si uhaba wa mafuta.
Tatizo ni vifaa vya kukamulia Zambia wao wanaotumia mafuta ya maharage ya soya amvayo huku hata soko huwa inakosaJe pamba na samli ?
Mkuu karanga nyingi sana masokoni hazikamuliwi mafuta.
Sasa hivi kuna tetere nazo zinatoa mafuta, mahindi nayo yanatoa mafuta.
Je tuna uhaba wa mahindi. Sisi tunatatizo la matumizi ya akili tu si uhaba wa mafuta.
Viongozi wetu wa kufanya hayo maamuzi wote ni madalali....sasa ukishakuwa na viongozi wenye mawazo ya kuwa madalali wa bidhaa za nje ujue hakuna maendeleo hapo.Sasa Ardhi tunayo lakini tunashindwa kuitumia tatizo hasa ni nini wakuu hebu tuanze hapo kwanza
Tuna mlima mrefu sana wa kupanda mkuu.Viongozi wetu wa kufanya hayo maamuzi wote ni madalali....sasa ukishakuwa na viongozi wenye mawazo ya kuwa madalali wa bidhaa za nje ujue hakuna maendeleo hapo.