Kilimo cha alizeti

Kilimo cha alizeti

Nipo mpwapwa Dom, moja kati ya kilimo kinacholimwa sana huku. Mvua za mwezi wa 12, wa 1 hata wa pili unaweza ukapanda kimsingi ni zao linalovumilia ukame haliitaji mvua nyingi. Kukodi shamba huku ni elf 30 na kulima (wanatumia ng'ombe au powertiller) 25 - 30k kupalilia per acre 30k. Ni kilimo flan hv hakina mambo mengi sn sabab wenyej wa huku hawatumii mbolea ardhi kwa sehem kubwa ina rutuba. Hakuna matumizi ya viwatilifu (japo magonjwa au wadudu yanaweza kutokea). Mavuno baada ya miez 3-4. Makadirio unaweza pata gunia 3-4 kwa eka. Palizi hata ukipalilia mara moja unaweza kuvuna.
Kiongozi hv kma unahudumia kila kitu mfano mbolea ,palizi ata zaidi ya mara tatu haiwezekani nikatoka na 8 kwa hekar
 
Nipo mpwapwa Dom, moja kati ya kilimo kinacholimwa sana huku. Mvua za mwezi wa 12, wa 1 hata wa pili unaweza ukapanda kimsingi ni zao linalovumilia ukame haliitaji mvua nyingi. Kukodi shamba huku ni elf 30 na kulima (wanatumia ng'ombe au powertiller) 25 - 30k kupalilia per acre 30k. Ni kilimo flan hv hakina mambo mengi sn sabab wenyej wa huku hawatumii mbolea ardhi kwa sehem kubwa ina rutuba. Hakuna matumizi ya viwatilifu (japo magonjwa au wadudu yanaweza kutokea). Mavuno baada ya miez 3-4. Makadirio unaweza pata gunia 3-4 kwa eka. Palizi hata ukipalilia mara moja unaweza kuvuna.
Yield bado ipo chini .

Ni vyema wakaacha mfumo wa kizamani wa kulima zao hilo.


Kutumia mifumo ya kisasa kuanzia Kufanya crop rotation , mbegu, viuatilifu plus mbolea Ili kupata matokeo halisi yanayoendana na karne hii .
 
Kiongozi hv kma unahudumia kila kitu mfano mbolea ,palizi ata zaidi ya mara tatu haiwezekani nikatoka na 8 kwa hekar
Inawezekana ukipata mbegu bora , ardhi yenye rutuba nzuri na kufuata taratibu na kanuni za kilimo cha kisasa.

Mbegu pendekezwa ni Hysun 33 by advanta
 
Inawezekana ukipata mbegu bora , ardhi yenye rutuba nzuri na kufuata taratibu na kanuni za kilimo cha kisasa.

Mbegu pendekezwa ni Hysun 33 by advanta
Yield yake ni kg 800-1200 per acre .
 
Pia mkuu ....
Ivi unaweza kulima alizeti mikoa kama songea , njombe ....kwenye mvuà nyingi na ukapata mavuno mazuri ?
Sijajua kwa Songea, ila Njombe unaweza kulima baadhi ya maeneo kama kule wanging'ombe kuelekea chimala maana kuna hali ya joto ila kwenye mvua nyingi kuna baridi mfano lupemb, ludewa huko aisee ukilima utavuna maganda makubwa ila ndani kiini hakina kitu.
 
Nipo mpwapwa Dom, moja kati ya kilimo kinacholimwa sana huku. Mvua za mwezi wa 12, wa 1 hata wa pili unaweza ukapanda kimsingi ni zao linalovumilia ukame haliitaji mvua nyingi. Kukodi shamba huku ni elf 30 na kulima (wanatumia ng'ombe au powertiller) 25 - 30k kupalilia per acre 30k. Ni kilimo flan hv hakina mambo mengi sn sabab wenyej wa huku hawatumii mbolea ardhi kwa sehem kubwa ina rutuba. Hakuna matumizi ya viwatilifu (japo magonjwa au wadudu yanaweza kutokea). Mavuno baada ya miez 3-4. Makadirio unaweza pata gunia 3-4 kwa eka. Palizi hata ukipalilia mara moja unaweza kuvuna.
umerunga pm yako, nahitaji mashamba dom ya kulima alizeti
 
umerunga pm yako, nahitaji mashamba dom ya kulima alizeti
Habari , kuelekea msimu wa kilimo pata mashamba heka kwa bei ya laki tatu maeneo ya wilaya ya chamwino vijijini , Pia nina viwanja dodoma mjini maeneo ya veyula vimepimwa tayari bei kuanzia million 2. kwa mawasiliano piga 0694662625
 
Back
Top Bottom