Kilimo cha aloe vera tanzania

MKUDE SIMBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
305
Reaction score
167
heshima kwenu wakuu, samahani kuna yeyote anayefahamu chochote juu kilimo cha aloe vera na masoko yake hapa Tanzania na hata kimataifa?
 

Attachments

  • Aloe-Vera-HQ-3-300x225.jpg
    17 KB · Views: 231
heshima kwenu wakuu, samahani kuna yeyote anayefahamu chochote juu kilimo cha aloe vera na masoko yake hapa Tanzania na hata kimataifa?

kwenye article uliyochomoa hiyo picha kuna maelezo mazuri ya kuanzia mkuu, inaonekana ni biashara nzuri.
 
kwenye article uliyochomoa hiyo picha kuna maelezo mazuri ya kuanzia mkuu, inaonekana ni biashara nzuri.

Sure mkuu lakini ni vyema kufahamu masoko kwanza kwa hapa nchini na kimataifa,hawajalieleza hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…