Kilimo cha chinese

Kilimo cha chinese

Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,957
Reaction score
827
Heshima mbele wakuu,

Naomba ushauri juu ya kilimo cha chinese. Nimeaza na matuta machache ila nina plan ya kujiongeza nifikie kulima at least nusu mpk eka moja ya chinese tu.

Wasiwasi wangu ni je, hichi kilimo kitanilipa nikilama kwa large scale? Plan yangu ni kuuza kwa jumla na sio kuuza rejareja.

Naombeni ushauri.
 
Sasa kama ume-,plan kuuza jumla inamaana soko unalo tayari!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja wataalamu waje

Sent from my GT-I8200N using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa moro chines ni ugonjwa wa taifa watu wamepanda mpaka vyooni mwao nadhani mpaka mwezi wa tisa heshima itarudi bei ni 100 fungu final consumer kwa .mlanguzi ni 300fungu kubwa

Sent from my GT-S5312 using JamiiForums mobile app
 
Anza kidogo kidogo mkuu hata miche 1000 ambapo kila mchumo hukosi mafungu 300- 350 under good management
 
Heshima mbele wakuu,

Naomba ushauri juu ya kilimo cha chinese. Nimeaza na matuta machache ila nina plan ya kujiongeza nifikie kulima at least nusu mpk eka moja ya chinese tu. Wasiwasi wangu ni je, hichi kilimo kitanilipa nikilama kwa large scale? Plan yangu ni kuuza kwa jumla na sio kuuza rejareja.

Naombeni ushauri.
mkuu kwem? ulifanikiwa
 
Back
Top Bottom