VeroEretico
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 512
- 398
Inategemea na gharama zako za uzalishaji mfano variable cost( aina ya mbegu, kama ni hybrid INA bei kubwa na ina high produce, mbolea, vibarua, umwagiliaji, madawa) pia solo lako likoje kama una solo la kila cabbage moja unauza 1000 hivyo utapata mauzo ya 13,333,333tsh kwa Shamba la ekari mojaMaelezo zaidi please makadirio ya pesa ya matumizi na mapato
Inategemea na gharama zako za uzalishaji mfano variable cost( aina ya mbegu, kama ni hybrid INA bei kubwa na ina high produce, mbolea, vibarua, umwagiliaji, madawa) pia solo lako likoje kama una solo la kila cabbage moja unauza 1000 hivyo utapata mauzo ya 13,333,333tsh kwa Shamba la ekari moja
Miezi miwili na nusu hadi mitatu kulingana na aina ya varietyZina komaa kwa muda gani?
Miezi miwili na nusu hadi mitatu kulingana na aina ya variety
nenda lushoto kafanye field practical mkuu hutojuta
namaanisha wananchi wa kule ni moja ya kilimo chao kikubwa na wanalima kisasa pia wanapata mavuno mengi
so ungeenda ukaona ungeongeza jambo ktk ubongo wako
Habari zenu wakuu mimi ni mwajiriwa mwanza ila nataka kuacha kuajiriwa nijiajiri, naomba mwenye anajua wapi naweza kupata eneo karibu na ziwani maana nataka kufanya kilimo cha umwagiliaji,
na pia naomba mnisaidie mawazo ni zao gani ulimaji wake hauna complication sana, as ndio naanza najua changamoto zipo,lakini nitapambana nazo tu nikisaidiwa na wazoefu wa kilimo.
Japo kwa reseach niliyofanya nimeona cabbage na matango yanafaa,nisaidieni wakuu mawazo yenu.
Kwa anaefahamu maeneo mazuri ya kukodi karibu na ziwani anicheck.. 0622043964
MrejeshoooPanga siku uende hapo magu kufanya survery,,.,,kuna maeneo mengi ya kukodi karibu na ziwa last year nilifanya kilimo cha umwagiliaji huko
Mengi utayajua huko,uwe mdadisi
Mrejeshooo
UlifanikiwaaMrejesho gani???
Ok. Thanks nitafanya hivyoPanga siku uende hapo magu kufanya survery,,.,,kuna maeneo mengi ya kukodi karibu na ziwa last year nilifanya kilimo cha umwagiliaji huko
Mengi utayajua huko,uwe mdadisi
Ulifanikiwaa
Pole ndo kujifunza. Siku nyingne utafatilia kwa ukaribuKiasi chake,,kulikua na mapungufu mfano sikupata mbegu bora,,,,usimamizi wa hovyo,,uongo wa msimamiz nk
Nililima nyanya,mahindi yale ya gobo na vitunguu tena vitunguu ndo vilitukomeshaaa
Nyanya nilipataa,japo nilikutana na changamoto ya soko
Mahindi sikupata mengi na bei haikua rafiki;
Vitunguu,,hasara kabisa