Mwanamena
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 1,107
- 1,360
Wadau kwa wanaofahamu kilimo hiki, naomba ushauri wa kitalaamu, nahitaji kulima kilimo cha viungo (spices)?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Songea kwa Sasa, ila umenipa wazo zuri, wacha niangalie nafasi ya kwenda kwanza Tanga then niende Zanzibar, nifanye study tour.1.Mkuu uko mkoa gani?
2. Unahitaji kulima kiungo gani?
3. Soko liko wapi?
4. Unataka kulima ukubwa gani?
Haya ni maswali muhimu kabla hujaanza kulima.
Nashauri uende zanzibar kuna mashamba ya viungo unaweza kutembelea kujifunza na kupata miche pamoja na mbegu
Soko lipo? Ukiamua kulima kibiasharaNipo Songea kwa Sasa, ila umenipa wazo zuri, wacha niangalie nafasi ya kwenda kwanza Tanga then niende Zanzibar, nifanye study tour.
Sent using Jamii Forums mobile app