Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

sijawai elewa gunzi linafanyaje kazi unaweza elezea?
Huwa najiuliza sana ila sipati jibu, hata nilipoelekezwa nikabisha ila nilipojaribu tatizo likaisha imebaki stori tu.

Kwa minazi pia km unadondosha matunda huwa wanagonga msumari tu then hayadondoki tena
 
Habari wanajukwaa mimi ni kijana nimeamua kujihusisha na kilimo.

Nakusudia kulima papai mapema mwakani na nimedhamiria kuwa na mipapai takribani mia saba.

katika hiyo mia saba, mia tatu nakusudia kuifanyia kilimo cha umwagiliaji na ilobaki kilimo cha kutegemea mvua.

ENEO LA KILIMO, Nakusudia kulima kijiji cha SEGERA wilaya ya Handeni Mkoani Tanga.

HITAJIO KUU: Nahitaji kujua wapi ntapata Soko la uhakika na aina gani ya papai inapendwa Sokoni.

Karibuni wadau. Michango yenu katika hili ni muhimu sana kwa kijana mimi nlie hamasika na kilimo.
 
Mbali na kuhitajika kama tunda au kuchakatwa juice, Nasikia mapapai yanahitajika pia kwenye viwanda vya utengenezaji wa konyagi na tambi, jaribu kufuatilia, ukipata jibu la uhakika nami nijuze
 
Ahsanteni wanajamvi kwa michango yenu, bado naendelea kupokea michango yenu kuhusu wapi ntapata Soko la uhakika na aina gani ya papai inapendwa Soko ni.
 
Soko la papai wakati hata MCHE hujapanda!
Nashauri upande miche unayofikir, ikifika umri wa miezi minne, ndipo uanze kusaka soko
Kuna nyuzi kadhaa humu ambazo unaweza kuzitumia kama kiongozi chako Kwa shughuli unayetaka kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…