Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Asante kwa maarifa kiingozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii post ni ya mwaka 2011, ni miaka 8 sasa imepita Je kuna mtu alijaribu kilimo hiki - any feedback?
 
Lete mrejesho mkuu au Kama umekwama mahali niambie Mimi naendelea Kuna papai kila week
 
Bei ya papai hapa dar Ni sh 1500 bei kuuza kwa jumla
 
Acha kulalamika kwenye keyboard mkuu ,mi nalima papai huu mwaka wa tatu sijawahi kudodewa na papai .Kama unazo nikupe connection

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Naomba kujifunza zinastawi katika Mazingira gani (Udongo), gharama za Miche na madawa. Na Eneo la heka moja unaweza kupanda Miche mingapi. Bila kusahau inachukua muda gani Hadi kukua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…