Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Si wataalamu wanadai hizo papai zinadumu zaidi ya wiki sio kama ya kienyeji.Bado hujanishawishi kuhusu soko la papai, papai iliyokomaa ikishachumwa inakaa si zaidi ya siku 3 ama 4 inakuwa ishaiva kabisa hasa kwa joto let say la hapa Dar.
Sasa kama umevuna papai 10,000 kwa siku na unategemea local market - lazima yakuozee sokoni...
Soko ni changamoto haikwepeki.
Kwa hali ya joto ya dar si kweli labda kwa mikoa mingine.Si wataalamu wanadai hizo papai zinadumu zaidi ya wiki sio kama ya kienyeji.
Mkuu salamaView attachment 184353
kilimo hiki kinalipa, ukipanda vizuri kwa kufata maelekezo, mbegu nzuri zinapatikana Kenya Agriculture Research Institute (KARI) huku kwetu ubabaishaji mwingi, karibuni shambani kwangu muone
Mapapai hayataki maji mengi muwe makini na vipindi vya mvua nyingi huko Kyela!Wakuu sisi kama vijana wenye nia ya kufanikiwa kimaisha katika kujiajiri!!
Moja ya miradi tuliyoifikiria ni kilimo cha papai...
Kwa mwenye uzoefu na hiki kilimo, nini changamoto zake hasa kwenye masoko?
NB: Tumepanga kuanza na mipapai 200-300 ambayo itakuwa kwenye shamba la eka moja na mahali ni wilayani Kyela mkoa wa Mbeya!!
Natanguliza shukrani!!
Zinakubali vizuri sanaNataka nilime papai mbeya inyala hivi zinaweza kukubali????
kwenye maduka ya pembejeo za kilimo.Bado muuliza swali hajajibiwa mbegu zinapatikana wapi wakuu! mwenye jibu amjibu, blablah nyingi sana humu!
Kilimo cha papai kimenifikisha mbali, napiga hela zangu taratibuView attachment 2508460View attachment 2508461View attachment 2508462
NipmMkuu salama
Una mbegu za papai za kisasa au km Unwz nielekeza hapa tz nipate ntashukuru sana
Ukiwekeza zaidi hakikisha una nyingi za kuuzia, mostly wadau waliowekeza sana nimewaona wametumia njia za kulink na madalali na mahotel at the same time, mzigo hufuatwa na wahusika shambaniBado hujanishawishi kuhusu soko la papai, papai iliyokomaa ikishachumwa inakaa si zaidi ya siku 3 ama 4 inakuwa ishaiva kabisa hasa kwa joto let say la hapa Dar.
Sasa kama umevuna papai 10,000 kwa siku na unategemea local market - lazima yakuozee sokoni...
Soko ni changamoto haikwepeki.
umeenda kwene maduka ya kilimo umekosaJamani mimi pia natafuta mbegu za papai (mbegu bora) ili nifulie mwenyewe. Niliambiwa ninunue miche ile gharama ni kubwa. Pia nilitaka nikamue kutoka kwenye papai ila mavuno nimesikia sio kama ya mbegu bora. Tafadhali kama kuna mtu anazo mbegu ama anamfaham mtu mwenye anauza mbegu. Tafadhali ni connect nae.
Natanguliza shukrani.