Zenji hayo yanaanziz 3500 rejareja sijui gharama za usafiri na kipande shs 500 ningekuwa najua ku upload ninge tupia kapicha cha kipande cha mia tano ukione kamahujakodi sealink utuletee mitikiti yako babu nene ya kilo 5!Mbona mimi nipo mwanza lakini ni nimekosa soko. Mtu anakuja shambani anataka anunue kwa sh 800 kwa tikiti moja wakati ni makubwa kuanzia kilo 5 mpaka 12.
Nana admin aniadd kwenye group nichangie uzoef wangu 0765252600
Ungekua una pc 6000 wateja wapo kenya wao wanaijia kabisa
Jamani mdau mpya apa naombeni mniweke na mm kwenye watsap 0713922053 nipate faida za kilimo mtabalikiwa sana